Hizi ni kura za Lowassa

Hizi ni kura za Lowassa

mm nna mtaji wa watu 26.na lengo langu nipate 45 watu wa ukweli na waaminifu. kati ya 26, 18 ni vijana wadogo ambao walienda kujiandikisha kwasababu ya kupata ID tu na sio kupiga kura, nmewashawishi kuhusu umuhimu wa kupiga kura. na wote wamekubali kuipigia ukawa kura. hawa wengine 8, walikuwa ccm na wengine waliwa hawamtaki lowassa kabisa. nimejaribu kuwaeleza bayana mapunguvufu na ubora wa lowassa, wameweza niliewa na wamekuwa na iman na Lowassa.
 
La muhimu tume ya uchaguzi NEC wahesabu na matokeo yatangazwe kwenye vituo yabandikwe wazi baada kupiga kura!!
Hakuna kupeleka matokeo eti yatangazwe na mkerugenzi, wasimamizi wazangaze matokeo ya kura vituoni!!
MaCCM wakibanwa hawana ujanja!!
 
Tutakuwa na uzi wa kupokea matokeo ya kila kituo. Hii itakuwa ni kwa njia ya tarakimu na picha. Yaani tangazo litakalobandikwa kituoni la matokeo litapigwa picha na kurushwa jf
 
Tutakuwa na uzi wa kupokea matokeo ya kila kituo. Hii itakuwa ni kwa njia ya tarakimu na picha. Yaani tangazo litakalobandikwa kituoni la matokeo litapigwa picha na kurushwa jf


Hiini nzuri!

Mimi kwangu sharti la kwanza kila mtu awe na BVR! Kuhusu kupiga kura nilishamalizaga huo mchezo miaka mingi jumla kwa sasa tuko 6, japo mmoja amejiandikishia mkoa mwingine nimemwambia nitampa nauli apande gari akapige kura! Kuna mwingine yuko wa 7 amejiandikisha Kwenye kambi ya JKT ambayo inaisha mwezi 9 pia nitampa nauli akapige kura maana siyo mbali!
 
Back
Top Bottom