Hizi ni kura za Lowassa

Hizi ni kura za Lowassa

Kwahiyo unataka kutuambia kuwa kuna watu 12 waliojiunga na kundi la hao nyumbu wasiojua wanapoelekea?

Wewe ndo nyumbu..utapelekeshwaje miaka 50 bila kujielewa hata kama una maslahi nao..lzm kuna jamaa zako wanapigika..wakati wezio wanapiga mihela tu kama hawajui umaskini tulionao..shame on you!
 
Mimi nimesha shawishi sita katika familia yangu, wote wana BVR. Na naendelea. Mimi nathani kwa wapenda mabadiliko hii ni njia nzuri. Nina sista namuimbisha kila leo naona amekomaa na makufuli, ila ikifika tarehe 24 oct hajaeleweka ntaficha kadi yake. Mawawili apigie kura ukawa au asipige kabisa, na sio kupigia sisiem
 
Naomba mchanganuo KAMA CHARITY BEGINS AT HOME nielezwe kwa miaka 25 EL akiwa mbunge wa monduli kuna upungufu wa umaskini kiasi gani au maendeleo kiasi gani ukilinganisha majimbo mengine?

Mabadiliko ya tabia nchi yaliyopelekea ukame na kusababisha mifugo mingi kufa mwanzoni mwa 2000 jamii ya wafugaji wa kimasai iliathirika moja kwa moja na kadhia hii. Mh. Edward Lowasa akishuhudiwa na dunia nzima mbele ya katibu wa ccm Mwigulu Nchemba aliwagawiya ng'ombe bure wafugaji wa jamii tajwa hapo juu. Kiuchumi hii inaitwa 'stimulus package' (kama ile iliyopinduliwa pinduliwa na chama cha mapinduzi wakati wa mdororo wa uchumi duniani na pesa zikaingizwa mifukoni mwa kina rizmoko kupitia ma-ginery (spelling check) ya Simon Kisena, na wenzao wa "mwenzetu" group.

Umenipata mkwatis
 
Last edited by a moderator:
Naomba mchanganuo KAMA CHARITY BEGINS AT HOME nielezwe kwa miaka 25 EL akiwa mbunge wa monduli kuna upungufu wa umaskini kiasi gani au maendeleo kiasi gani ukilinganisha majimbo mengine?

kwani chato au chalinze kuna maendeleo gani?
 
Ukiona mtu na akili yake timamu karne hii anashabikia si.e.mu ujue ama ni mzee, mtoto, mwanamke asiyejitambua. Nje ya orodha hii wanataka mabadiliko.
 
kwenye basi tunalotumia kwenda kazini kati ya watu 60 ni wawili tu ndio wako upande wa ccm, lakini bado tunafanya jitiada hili na wao wabadili msimamo
 
Mimi nina watu 6 nyumbani kwangu, shemeji yangu alikuwa mbishi na dada yangu nao nimewachukua kirahisi kwa sababu wanamuogopa magufuli na bomoa bomoa zake. Sasa jumla hao ni 13, ndugu wengine ni wengi na wengine wanakuja kunishawishi mimi niwapigie ukawa kirahisi kabisa naungana nao, mtaani wote ni ukawa wanataka kubadili tu chama. Nina hasira na Mbowe kuhusu Dr Slaa ila siwaambii kwanza mpaka nione hatma yao
 
Mimi kwenye mtaa wangu mmzee mmoja tu ndo ccm ila wengine including watoto wa huyo mzee ni ukawa.
 
:A S thumbs_up::A S thumbs_up: Big up, mimi naendelea na kazi ya kuwaelemisha umuhimu wa kupiga kura na kuiondoa ccm madarakani.......
 
Nishatia sumu kwa babu na bibi so wamenielewa kura mbili zipo na yangu ya tatu bado mademu wangu watatu watanielewa tuu soon
 
H20

Yes hata mm nimepigika. Lakini baada ya kuchunguza kwa kina, nimebaini kuwa EL na mtandao wake wz mafisadi ndio ulionisababishia haya mateso na mwisho nimeapa kuwa NO MORE KWA MAFISADI.
 
Last edited by a moderator:
Mkakati mzuri sana.. Hope kila Mwana UKAWA akihamasisha japo watu 20 basi mzigo unatupwa makumbusho mapema asubuhi.
 
Naomba mchanganuo KAMA CHARITY BEGINS AT HOME nielezwe kwa miaka 25 EL akiwa mbunge wa monduli kuna upungufu wa umaskini kiasi gani au maendeleo kiasi gani ukilinganisha majimbo mengine?

kwa hiyo ulitaka akagawe pesa zake?
 
Usemelo ni sawa kabisa. Mi ninachosema ni kuwA mtu anaweza akakwambiaa hivo ila kwenye chumba cha kupigia kura huko ndo yanaweza yakatokea mabadiliko.
Exactly, na hiyo ndio njia nzuri ya kudeal na wanasiasa wanaotoa hongo kwa wapiga kura
 
Yes hata mm nimepigika. Lakini baada ya kuchunguza kwa kina, nimebaini kuwa EL na mtandao wake wz mafisadi ndio ulionisababishia haya mateso na mwisho nimeapa kuwa NO MORE KWA MAFISADI.

Sasa hao waliopigika akichaguliwa Lowassa ndio watatoka? Kama una ushawishi kwao kiasi hicho kwa nini wewe mwenyewe usiwasaidie kuwapa njia ya kujikwamua?

Ndugu yangu wanasiasa hawawezu kubadilisha maisha yako. Fanya juhudi wewe mwenyewe ya kutengeneza maisha yako na Mungu atakusaidia.

Usibweteke kungoja wanasiasa eti watakutoa utabaki kama ulivyo hata akitawala nani.
 
Naoa wanawake ishirini hadi october, shart ni moja tu, kura kwa Edward!!
 
nyumbani tupo 7 wote kura kwa lowasa kazini kwangu tupo 34 wafanyakazi wanne makufuli wawili hawasomeki ila bado tunawape elimu watabadilika tu kwaiyo waliobaki 28 wote kwa lowasa
 
Back
Top Bottom