Serikali 3 zilizoboreshwa zitatufanya tuwe na misingi ya taifa moja lenye serikali ndogo 2
Acha kudanganya watu sisi watanzania tunataka serikali mbili,wewe na kina Waioba ndio mnataka serikali 3 ili mvunje muungano wetu na kutuletea shida na taabu ambazo hatujawahi kuzipata.Watu waliohojiwa hawazidi 400,000 sisi watanzania tuko milion 45 sasa msitupeleke kubaya kwa ajili ya tamaa zenu.Mmeshindwa na mtashindwa.
Akili zake ndo zineishia pale wala usimlaumu..unachagua rais mtu wa pwani unategemea nini?mipasho ni sehemu ya maisha kwake
Acha kudanganya watu sisi watanzania tunataka serikali mbili,wewe na kina Waioba ndio mnataka serikali 3 ili mvunje muungano wetu na kutuletea shida na taabu ambazo hatujawahi kuzipata.Watu waliohojiwa hawazidi 400,000 sisi watanzania tuko milion 45 sasa msitupeleke kubaya kwa ajili ya tamaa zenu.Mmeshindwa na mtashindwa.
Lakini unawezaje kuwa na rais wa muungano asiye na ardhi? Anapo kwenda bara anakua mgeni, akifika visiwani alkadharika
Wewe ni zuzu, nitajie ni watu wangapi huku Kigoma,Rukwa,Mbeya na Ruvuma walipendekea serikali tatu?Rais kikwete wananchi tulishamaliza kutoa maoni kwa tume.usiturudishe nyuma.rasimu iliyopo ina maoni ya wananchi.nashangaa leo unatudharau wananchi.na dharau za wana ccm zinakera sana.kama jimbo la chalinze lililotoa rais leo huko hamna amburance tulisikia mwanao anaahidi unategemea ccm mna nia ya dhati na sie?.pitisheni serikali 2 muone mziki wake.leo hautaki ukomo wa ubunge kwa kuwa unataka mwamao riz awe mbunge wa maisha chalinze.hatukubali.
Acha kudanganya watu sisi watanzania tunataka serikali mbili,wewe na kina Waioba ndio mnataka serikali 3 ili mvunje muungano wetu na kutuletea shida na taabu ambazo hatujawahi kuzipata.Watu waliohojiwa hawazidi 400,000 sisi watanzania tuko milion 45 sasa msitupeleke kubaya kwa ajili ya tamaa zenu.Mmeshindwa na mtashindwa.
I never thought that one day jk would give a such stupid speech!!!!!!
Lakini unawezaje kuwa na rais wa muungano asiye na ardhi? Anapo kwenda bara anakua mgeni, akifika visiwani alkadharika
Nakubaliana na JK! Watu wanataka Katiba iwaletee maisha bora ndio maana wengi hawakuzungumzia juu ya Muungano! Washabiki wakuu wa Muungano wa Serikali 3 ni wale walafi tu wa madaraka, hawana lolote!
hivi unafahamu maana ya sampling ungekuwa unajua usingeadika uharo hapa unatujazia serverAcha kudanganya watu sisi watanzania tunataka serikali mbili,wewe na kina Waioba ndio mnataka serikali 3 ili mvunje muungano wetu na kutuletea shida na taabu ambazo hatujawahi kuzipata.Watu waliohojiwa hawazidi 400,000 sisi watanzania tuko milion 45 sasa msitupeleke kubaya kwa ajili ya tamaa zenu.Mmeshindwa na mtashindwa.