Hizi ndo tabia au sifa za kenge

Hizi ndo tabia au sifa za kenge

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,853
Reaction score
36,235
Baada ya mbunge Taiduna kuwaita Watanganyika " kenge" wa ndani.

Wacha tujadili tabia za kenge, usikute kweli sisi Watanganyika ni kenge

1. Kenge ni kiumbe kinapenda kujifananisha na mamba.
Hapa mamba na wale wakubwa au machawa bila shaka hili linawakera

2 Kwenye ana kiherehere
Licha ya kuishi kwenye maji ila hutoka kuwinda nchi kavu.
Hili linawakera mamba na kuwaza kuwashugulikia mamba

3 kenge anakula takataka
Chakula cha kenge ni nzi na viumbe wengine wachafu

4 kenge hana madhara Kwa binadamu
Huu ndo ujinga wake akimwona binadamu hukimbia

5 kenge hupenda kuota jua
Hii ni tabia ya uvuvi wa mawazo na kiutendaji.
Kenge hawazi vikubwa yeye huota jua na kula nzi na Panzi tu wala hatamani samaki licha ya kuishi nao mtoni

6. Kenge ni kiumbe mjinga
Anaweza akala hata mayai yake mwenyewe

7. kenge hajitambui
Licha ya kuishi na vitoweo mtoni, kuwa kwenye maji machafu ila yeye vyote havioni
Hakika Watanganyika ni kenge rasilimali zote hizi ila shule hazina madawati, hospital hazina madawa, vijana hawana ajira n k

8 Kwenye yeye hutawaliwa
Watanganyika ni kenge tumekubali kutawaliwa na mamba kutoka CCM miaka yote hii

Naungana na mbunge kutoka Zanzibar kuwa Watanganyika ni kenge na ni kenge kweli

Watanganyika Sasa tujitahidi tutoke kwenye kuwa kenge tuwe mamba
1748540459616.jpg
 
Baada ya mbunge Taiduna kuwaita Watanganyika " kenge" wa ndani.

Wacha tujadili tabia za kenge, usikute kweli sisi Watanganyika ni kenge

1. Kenge ni kiumbe kinapenda kujifananisha na mamba.
Hapa mamba na wale wakubwa au machawa bila shaka hili linawakera

2 Kwenye ana kiherehere
Licha ya kuishi kwenye maji ila hutoka kuwinda nchi kavu.
Hili linawakera mamba na kuwaza kuwashugulikia mamba

3 kenge anakula takataka
Chakula cha kenge ni nzi na viumbe wengine wachafu

4 kenge hana madhara Kwa binadamu
Huu ndo ujinga wake akimwona binadamu hukimbia

5 kenge hupenda kuota jua
Hii ni tabia ya uvuvi wa mawazo na kiutendaji.
Kenge hawazi vikubwa yeye huota jua na kula nzi na Panzi tu wala hatamani samaki licha ya kuishi nao mtoni

6. Kenge ni kiumbe mjinga
Anaweza akala hata mayai yake mwenyewe

7. kenge hajitambui
Licha ya kuishi na vitoweo mtoni, kuwa kwenye maji machafu ila yeye vyote havioni
Hakika Watanganyika ni kenge rasilimali zote hizi ila shule hazina madawati, hospital hazina madawa, vijana hawana ajira n k

8 Kwenye yeye hutawaliwa
Watanganyika ni kenge tumekubali kutawaliwa na mamba kutoka CCM miaka yote hii

Naungana na mbunge kutoka Zanzibar kuwa Watanganyika ni kenge na ni kenge kweli

Watanganyika Sasa tujitahidi tutoke kwenye kuwa kenge tuwe mamba
Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe jamii ambayo walio wengi hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi

Jamii yenye watu wengi zaidi ambao angalau wanajua kusoma na kuandika tu jamii hii hupenda kujipendekeza ili waonekane na wao wamo, (hawavimi lakini wamo)
 
Tabia nyingine ya kenge anapenda kuishi nchi kavu na majini lakini anaogopa mvua.

Akiwa nchi kavu yakianza manyunyu tu anatoka mbio mwendo wa kasongo na kuingia kwenye maji... Katika hili hata wataalamu hawaelewi sababu 😁😁
 
Tabia nyingine ya kenge anapenda kuishi nchi kavu na majini lakini anaogopa mvua.

Akiwa nchi kavu yakianza manyunyu tu anatoka mbio mwendo wa ngiri na kuingia kwenye maji... Katika hili hata wataalamu hawaelewi sababu 😁😁
Kwamba anakimbia manyunyu anaenda kwenye Mafuriko

Tafsiri: anakimbia hatari ndogo anaenda kwenye hatari kubwa
 
Tabia nyingine ya kenge anapenda kuishi nchi kavu na majini lakini anaogopa mvua.

Akiwa nchi kavu yakianza manyunyu tu anatoka mbio mwendo wa kasongo na kuingia kwenye maji... Katika hili hata wataalamu hawaelewi sababu 😁😁
Kumbe kenge hajielewi yaani sisi watanganyika hatujielewi ndiyo maana tunatekwa na kupotezwa wameenda mbali zaidi watekaji wanabaka na kulawiti

CCM wanatwaambia watekaji hawajulikani ili waendelee kutu teka, kutu dhuru na kutudhurumu haki ya kuishi
 
Sifa nyingine ya KENGE unaweza kukutana nae porini, ukaingia uwoga sasa wakati ukipanga kukimbia, utashangaa vumbi tu anakukimbia yeye.. kenge muoga hatari
 
Ukiona ni mwanamume alafu jambo dooooogoooo unalifanya kuwa kubwa jua kuna shida
 
Huyo aliyeita watu kenge, kwanza kichwani hazimo. Hakujitazama kwenye kioo kabla ya kuongea. Hizo pesa za Ubunge zinamtia ukichaa na kujiona mtu, kati ya watu. Mpaka anakufuru. Mimi nimeshampa yeye ni kiboko na mtani wangu Kalpana yeye kampa ni nyangumi. Aje ajisome hapa.
hahah hivi kweli umeliona umbo lake?
baya
limenenepeana kweli kama kiboko
alafu ni la mwaka 1991

yaani urojo ulishaliharibu
limenenepa kama lidude au lidudu
 
Back
Top Bottom