Hizi ndizo sifa za mwanamke mzuri

Hizi ndizo sifa za mwanamke mzuri

Wanapotoka sana, urembo sio lazima mtu ajibadilishe - kakandika hayo wanaita mamakeup hadi juani yanatiririka kama mto ruvu pyuuuuu!
Mtu akiwa na urembo basi ule asili awe nao hata kama hajapaka wa kidhungu basi awe anatazamika usoni
 
Ukiwa mwanaume bora utapata mwanamke bora, anza na wewe, na uzuri wa kitu hutofautiana kimtazamo kati ya mtu na mtu, kizuri kwako kibaya kwa mwenzako, mfano kuna baba mmoja ana mke mbabe full matusi na ngumi yaani mkorofi, ila huwa anasema anampenda kwa sababu hiyo, aliwahi mwacha kwa shinikizo la ndugu, baadae alimrudia sababu alishindwa kuishi na mwanamke mpole/mnyenyekevu
 
Niliwahi sikia mbaba anasema nitaishi vipi na mwanamke asiye niuliza nipo wapi kila kitu sawa lazima anilinde ajue nafanya nini nimekula nini, upole wakijinga jinga sitaki mke wa hivyo
 
Kwakweli hapana aiseee, kwanza zinanikata kbs stimu hata mzuka wote unalala mbele aaaarrrgh. Ukute mtu natural baana , msafiiiiiii na ana nukia ile harufu ya binadamu kama waijua- hapo mambo yanakuwa safi sana
Hahaaa. Kweli kabisa Mbalizi sio ukikaa na mtu kakija kaupepo unasikia kaharufu fulani kamepita basi shida tupu.

Japokuwa kwa karne tuliyonayo sasa walio natural wanahesabika yaani.

Ila nimecheka Mbalizi inamaana umri huu Hajar hajui harufu ya binadamu lol.
 
Niliwahi sikia mbaba anasema nitaishi vipi na mwanamke asiye niuliza nipo wapi kila kitu sawa lazima anilinde ajue nafanya nini nimekula nini, upole wakijinga jinga sitaki mke wa hivyo
Hata mim napenda wa hvyo
 
Hahaaa. Kweli kabisa Mbalizi sio ukikaa na mtu kakija kaupepo unasikia kaharufu fulani kamepita basi shida tupu.

Japokuwa kwa karne tuliyonayo sasa walio natural wanahesabika yaani.

Ila nimecheka Mbalizi inamaana umri huu Hajar hajui harufu ya binadamu lol.
Unakumbuka kale kamnukio kanakopatikana kijasho chembamba kinapokuwa kunatiririka hasa kwapani? Pumzi zinapokuwa zimejaa kifuani, hisia zinapokuwa juu na midundo motomoto ya sauti za chini chini zisindikizwapo na ala za sauti zisizokuwa nyimbo bali minong'ono na miguno!! Pale pahala acha achaaaa aaachaaaaaa Hajar.

Sikutaka kukusemea ndio vile nikaandika kwa mtindo wa kuuliza, ahhahaa
 
Unakumbuka kale kamnukio kanakopatikana kijasho chembamba kinapokuwa kunatiririka hasa kwapani? Pumzi zinapokuwa zimejaa kifuani, hisia zinapokuwa juu na midundo motomoto ya sauti za chini chini zisindikizwapo na ala za sauti zisizokuwa nyimbo bali minong'ono na miguno!! Pale pahala acha achaaaa aaachaaaaaa Hajar.

Sikutaka kukusemea ndio vile nikaandika kwa mtindo wa kuuliza, ahhahaa
Hahahaaa. Nimecheka sana Mbalizi na ile ndio harufu ya binadamu sasa.

Sio mtu likitoka lile la kwapani basi na kichwani hajiwezi jasho linaanza kuchuruzika tokea kichwani likiwa na mchanganyiko wa uvundo. Lol. Hatari sana Mbalizi.

Davet njoo huku Mbalizi anavunja mbavu za Hajar. Teh.
 
Niliwahi sikia mbaba anasema nitaishi vipi na mwanamke asiye niuliza nipo wapi kila kitu sawa lazima anilinde ajue nafanya nini nimekula nini, upole wakijinga jinga sitaki mke wa hivyo
Yenyewe mwanamke wa hvo
Ndo naona akiwa mzur
 
Hahahaaa. Nimecheka sana Mbalizi na ile ndio harufu ya binadamu sasa.

Sio mtu likitoka lile la kwapani basi na kichwani hajiwezi jasho linaanza kuchuruzika tokea kichwani likiwa na mchanganyiko wa uvundo. Lol. Hatari sana Mbalizi.

Davet njoo huku Mbalizi anavunja mbavu za Hajar. Teh.
Yaani ww Hajar unatembea mulemule, watoto wa mjini wanasema unanata na beat hahahaa
 
Hahaaa. Kweli kabisa Mbalizi sio ukikaa na mtu kakija kaupepo unasikia kaharufu fulani kamepita basi shida tupu.

Japokuwa kwa karne tuliyonayo sasa walio natural wanahesabika yaani.

Ila nimecheka Mbalizi inamaana umri huu Hajar hajui harufu ya binadamu lol.

Hahahaaa. Nimecheka sana Mbalizi na ile ndio harufu ya binadamu sasa.

Sio mtu likitoka lile la kwapani basi na kichwani hajiwezi jasho linaanza kuchuruzika tokea kichwani likiwa na mchanganyiko wa uvundo. Lol. Hatari sana Mbalizi.

Davet njoo huku Mbalizi anavunja mbavu za Hajar. Teh.
Aisee!! Mmeshakutana tena
 
Back
Top Bottom