Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Hapana mkuu sikupata hitirafu yeyote.... nipo fitiUmeanza na ww! Vipi jana hujatenguliwa kiuno kule?
Hapana mkuu sikupata hitirafu yeyote.... nipo fitiUmeanza na ww! Vipi jana hujatenguliwa kiuno kule?
Bila wowo siyo mzuri huyoHata dunia ibadilike vipi na mambo yabadilike vipi lakini mwanamke mzuri ni mwenye sifa hizi
Mwanamke mzuri ni yule
1. anayejiheshimu mtaani,
2. Hodari jikoni
3.malaya kitandani.......
Nimefanya nini tena jaman Hajar!Hahahaaaa. Rafiki utamuweza Mbalizi zake.![]()
Mngh!
Isije kuwa ulishindilia kama rola linagonga barabara ukasababisha mtu kuwahi dispensary leo! HahahaaHapana mkuu sikupata hitirafu yeyote.... nipo fiti
Hahahaa. Si hayo maneno yako.Nimefanya nini tena jaman Hajar!
Kapumzika sasa hv hajiwezi atakuja baadae sanaIsije kuwa ulishindilia kama rola linagonga barabara ukasababisha mtu kuwahi dispensary leo! Hahahaa
Hahahaaaa. Rafiki Mbalizi ndio huwa muanzilishi ujue mie walaaaa. Teh
Hahahaaa. Wacha weeeeeee.Hapana mkuu sikupata hitirafu yeyote.... nipo fiti
Hahahaaaa. Rafiki Mbalizi ndio huwa muanzilishi ujue mie walaaaa. Teh

Utamuweza huyo? Sema natamani kujua kuhusu hilo harufu ya kibinadamuKwakweli mmeniacha sana.. afu mbona unamsukumia mzigo mbalizi tu?
Mbalizi ndio anajua kufunguka. Hajar amejawa na haya hadi kwenye kuandika aona aibu. Hahahaahaaaaaa.Kwakweli mmeniacha sana.. afu mbona unamsukumia mzigo mbalizi tu?
Rafiki hunitendei haki kabisaMbalizi ndio anajua kufunguka. Hajar amejawa na haya hadi kwenye kuandika aona aibu. Hahahaahaaaaaa.

Ngoja nikwambiee
Mwanamke mzuri n mwenye sifa zifuatazo
•mvaa mawigi
°mchora kucha
°muweka kope za bandia
°mpiga selfie hata akiwa chooon
°mpenda starehe kuliko maendeleo
°mpiga umbea saluni
°kujichubua awe Kama lady gaga
°mpenda sifa...
Nyingine ongezea mwenyew