Hizi ndizo Shule za Bongo. Baab Kubwaa

Mwe! Baada ya adhabu kitaeleweka kweli?!
 
Kha! sasa huyo dogo hapo wa kwanza kushoto picha ya chini anafuatiliaje masomo jamani
 
hao walioinamishwa waweza kuta hata uji wa chumvi
hawajapiga na utakuta kosa ni kuchelewa kutia yimu school
af shule ipo kimara tu posta kati kuna simba chui
na dogo kaamkia shamba lol
 
hao walioinamishwa waweza kuta hata uji wa chumvi
hawajapiga na utakuta kosa ni kuchelewa kutia timu school
af shule ipo umbali wa kimara to post, katikati kuna simba chui

na dogo kaamkia shamba lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hilo galoni ni mradi wa icecream za mwalimu kujikimu wakati akisubiri mshahara uliochakachuliwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Shule za Bongo ktk Karne ya 21,





Hii ni Shule ya Msingi Ilala iliyopo Iringa Mjini ni mita 400 tu toka Afisi ya ARASII, ina wanafunzi 685 wanaokaa chini ni 48
 
[h=3]Darasa letu katika karne ya 21 na miaka 50 ya kujitawala[/h]



 
Hivi shule ambazo zimetuzalishia viongozi na wazazi tulionao leo, zilikuwa vipi ktk adhabu?. Hawakuchapwa?, hawakupewa adhabu?, na kama walipewa zilikuwa za mtindo upi?.
 
na watoto hao ndo wauzaji wenyewe
tehetehetehehe yaani hapo wakisimama wanabeba hilo deli shughuli inaendelea



eam za mwalimu kujikimu wakati akisubiri mshahara uliochakachuliwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…