Hizi ndio sababu zinazonifanya leo hii niichukie CCM

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,860
12,293
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania.

Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa na CCM kupitia picha mbali mbali ili kuwafungua macho wale waliofungwa macho ili wasiweze kuona maendeleo na mazuri mbali mbali yaliofanywa na CCM, na kuwafungua akili wale waliofungwa akili ili wasiweze kugundua ukweli wa mazuri haya.

Bila kupoteza muda naomba nitaje sababu zinazonifanya niichukie CCM leo.

1) Kitendo cha serikali ya CCM chini ya Jakaya Kikwete kuleta maendeleo kwa vijana, kama vile kuwatengenezea mazingira ya ajira mbalimbali, kujenga shule za kata, kusambaza barabara za mitaani, wafanyakazi wa serikali kupandishwa vyeo, kuongezewa mishahara na unafuu wa maisha, vilipelekea wananchi kukipenda chama hicho na kukiona kuwa ni mkombozi wao katika kipindi chote cha maisha yao.

Hii ilijithibitisha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambapo japo wapinzani walikuwa na wagombea wazuri na wazoefu katika siasa, lakini walishindwa kufutukuta mbele ya chama hicho na kupelekea wapinzani hao kushindwa uchaguzi kwenye uraisi na ubunge.

2) Kitendo cha CCM kuja na mission ya kuwaazima wapinzani mgombea mmoja mwaka 2015, pia kimechangia mimi kuichukia CCM maana kitendo hicho kilisababisha upinzani usambaratike na kuacha mapengo makubwa ndani ya vyama vyao.

Kwa mfano mpaka leo pengo la dr Slaa bado halijazibwa na mtu yoyote ndani ya chama chake cha zamani, japo wenye chama wanajitahidi kupachika pachika watu ili wavae viatu vyake lkn wapi bado viatu vyake vinawapwele pweta na hawajui wafanye nini ili apatikane mtu mwenye mguu kama wake ili viatu vimtoshe.

Hapa sijazungumzia kundi kubwa la wabunge na madiwani lililoondoka na mzee wa mission baada ya kumaliza kile kilichompeleka upinzani. Upande wa pili napo prof akajikuta anabaki mwenyew pale buguruni baada ya wapemba kuhamisha ofisi ya chama chao huko kwao chake chake.

3) Kitendo cha raisi wa awamu ya tano kupitia CCM hayati dr Magufuli kuwapa watoto wa masikini haki ya kusoma bure, kujenga miundo mbinu mbali mbali kama vile kupeleka maji na umeme sehem mbali mbali za nchi, kushusha gharama za umeme na maji, kuwapa wanyonge haki ya kujitafutia riziki zao bila bughuza yoyote, kuongeza ujenzi wa viwanda mbali mbali na kuleta maendeleo ya watu na vitu, kulisababisha watanzania waiamini sana CCM na viongozi wake hadi kupelekea wapinzani kuangukia pua vibaya sana katika uchaguzi wa mwaka 2020, licha ya wapinzani hao kumsimamisha m'beleji mweusi awe mgombea wao wa uraisi, na bila kusahau kusambaza chawa katika mitandao yote ya kijaa wakiwa na ID's tano tano lkn haikusaidia kuwaepusha wapinzani hao na kipigo cha CCM chini ya aliekuwa mwenyekiti wao hayati J.P. Magufuli.

Waswahili wana misemo yao miwili..

(a) dalili ya mvua ni mawingu

(b) nyota njema huonekana asubuhi.

Sababu ya kuweka misemo hiyo ni kutaka kuonesha dalili za CCM kushinda uraisi na ubunge zilianza kuonekana mapema sana kupitia mikutano mbali mbali ya kampeni za uchaguzi mkuu.

Nitaweka picha hapo chini ili wenye akili huru (sio wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti) waweze kuona kilichoendelea.

4) Baada ya hayati Magufuli ambae alikuwa kiboko yao kufariki, wengi tukajua sasa ni zam ya upinzani kunyanyuka tena na maana pengine alieingia angeweza kwenda kinyume na sera za chama, sasa cha kushangaza huyu alieingia nae kaja na mikakati kabambe ya kuwaletea watanzania maendeleo kwa kuendeleza miradi yote ya CCM iliyoachwa na hayati na kaenda mbali zaidi kwa kuhakikisha ifikapo mwaka 2024 na kuendelea kila mwanafunzi wa kitanzania atakuwa anasoma katika mazingira mazuri, na pia maendeleo yatakuwa zaidi ya vile wengi walifikiria. So sioni tena dalili za upinzani kupata hoja nzuri ya kushawishi watanzania au nguvu ya kushinda uchaguzi ujao.

Ushauri wangu kwa vile wananchi wengi wameamua kuendelea kuichagua CCM iendelee kuwaongoza, basi viongozi wa upinzani wasikate tamaa, wakaze buti waajiri lundo la chawa zaidi na ikiwezekana kila chawa amiliki IDs kumi mitandaoni ili waonekane kuwa wapo wengi na pia waje na hoja zenye mashiko ili kuwarubuni wapiga kura vizuri.

Najua sio rahisi kuwalipa chawa wote lkn ili mfike kule mnapotaka kufika inabidi muendelee kuwalipa ili vijana wawe na morali ya kutengeneza uongo kuhusu CCM na kuuleta hapa mtandaoni.

Nawatakieni siku njema. Angalia mikutano ya watu wanaodai kuibiwa kura hapo chini 🤣🤣🤣🤣.

images (7).jpeg


images (8).jpeg


IMG-20220407-WA0040.jpg


images (10).jpeg


images (9).jpeg


EhZ3fDnWkAke8qR.jpg


download (3).jpeg


images (52).jpeg


images (48).jpeg


images (49).jpeg


images (35).jpeg


images (38).jpeg


images (34).jpeg


images (33).jpeg
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya ao katika kipindi ]

Umepoteza muda mrefu kuandika ugoro. Unafikiri Mwenyekiti wa chama alipowaonya Wakurugenzi kuwa nakulipa vizuri halafu eneo lako ashinde mpinzani, unafikiri hakuona hatari ya Chama chake CCM kuangushwa? Hivi kweli hujui sanduku la kura la CCM ni TISS na Polisi? Hebu TISS na Polisi wakae pembeni halafu uone Kama CCM itakuwepo! Ni mapema tu asubuhi hawapo.
 
Nyie ndio mlosababisha kile kifaa kifyatukie upande ambao haukusetiwa.

Mtu anakula pushup wakati ana remote mwilini halafu mnampigia makofi.

Ningekuwa mwanafamilia ningewafungulia mashitaka CCM kikosi cha usalama wa afya ya mgombea
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania. Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa na CCM kupitia picha mbali mbali ili kuwafungua macho wale waliofungwa macho ili wasiweze kuona maendeleo na mazuri mbali mbali yaliofanywa na CCM, na kuwafungua akili wale waliofungwa akili ili wasiweze kugundua ukweli wa mazuri haya. Bila kupoteza muda naomba nitaje sababu zinazonifanya niichukie CCM leo. 1) Kitendo cha serikali ya CCM chini ya mh Jakaya Kikwete kuleta maendeleo kwa vijana, kama vile kuwatengenezea mazingira ya ajira mbali mbali, kujenga shule za kata, kusambaza barabara za mitaani, wafanyakazi wa serikali kupandishwa vyeo, kuongezewa mishahara na unafuu wa maisha, vilipelekea wananchi kukipenda chama hicho na kukiona kuwa ni mkombozi wao katika kipindi chote cha maisha yao. Hii ilijithibitisha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambapo japo wapinzani walikuwa na wagombea wazuri na wazoefu katika siasa, lakini walishindwa kufutukuta mbele ya chama hicho na kupelekea wapinzani hao kushindwa uchaguzi kwenye uraisi na ubunge. 2) Kitendo cha CCM kuja na mission ya kuwaazima wapinzani mgombea mmoja mwaka 2015, pia kimechangia mimi kuichukia CCM maana kitendo hicho kilisababisha upinzani usambaratike na kuacha mapengo makubwa ndani ya vyama vyao. Kwa mfano mpaka leo pengo la dr Slaa bado halijazibwa na mtu yoyote ndani ya chama chake cha zamani, japo wenye chama wanajitahidi kupachika pachika watu ili wavae viatu vyake lkn wapi bado viatu vyake vinawapwele pweta na hawajui wafanye nini ili apatikane mtu mwenye mguu kama wake ili viatu vimtoshe. Hapa sijazungumzia kundi kubwa la wabunge na madiwani lililoondoka na mzee wa mission baada ya kumaliza kile kilichompeleka upinzani. Upande wa pili napo prof akajikuta anabaki mwenyew pale buguruni baada ya wapemba kuhamisha ofisi ya chama chao huko kwao chake chake. 3) Kitendo cha raisi wa awamu ya tano kupitia CCM hayati dr Magufuli kuwapa watoto wa masikini haki ya kusoma bure, kujenga miundo mbinu mbali mbali kama vile kupeleka maji na umeme sehem mbali mbali za nchi, kushusha gharama za umeme na maji, kuwapa wanyonge haki ya kujitafutia riziki zao bila bughuza yoyote, kuongeza ujenzi wa viwanda mbali mbali na kuleta maendeleo ya watu na vitu, kulisababisha watanzania waiamini sana CCM na viongozi wake hadi kupelekea wapinzani kuangukia pua vibaya sana katika uchaguzi wa mwaka 2020, licha ya wapinzani hao kumsimamisha m'beleji mweusi awe mgombea wao wa uraisi, na bila kusahau kusambaza chawa katika mitandao yote ya kijaa wakiwa na ID's tano tano lkn haikusaidia kuwaepusha wapinzani hao na kipigo cha CCM chini ya aliekuwa mwenyekiti wao hayati J.P. Magufuli. Waswahili wana misemo yao miwili.. (a) dalili ya mvua ni mawingu (b) nyota njema huonekana asubuhi. Sababu ya kuweka misemo hiyo ni kutaka kuonesha dalili za CCM kushinda uraisi na ubunge zilianza kuonekana mapema sana kupitia mikutano mbali mbali ya kampeni za uchaguzi mkuu. Nitaweka picha hapo chini ili wenye akili huru (sio wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti) waweze kuona kilichoendelea. 4) Baada ya hayati Magufuli ambae alikuwa kiboko yao kufariki, wengi tukajua sasa ni zam ya upinzani kunyanyuka tena na maana pengine alieingia angeweza kwenda kinyume na sera za chama, sasa cha kushangaza huyu alieingia nae kaja na mikakati kabambe ya kuwaletea watanzania maendeleo kwa kuendeleza miradi yote ya CCM iliyoachwa na hayati na kaenda mbali zaidi kwa kuhakikisha ifikapo mwaka 2024 na kuendelea kila mwanafunzi wa kitanzania atakuwa anasoma katika mazingira mazuri, na pia maendeleo yatakuwa zaidi ya vile wengi walifikiria. So sioni tena dalili za upinzani kupata hoja nzuri ya kushawishi watanzania au nguvu ya kushinda uchaguzi ujao. Ushauri wangu kwa vile wananchi wengi wameamua kuendelea kuichagua CCM iendelee kuwaongoza, basi viongozi wa upinzani wasikate tamaa, wakaze buti waajiri lundo la chawa zaidi na ikiwezekana kila chawa amiliki IDs kumi mitandaoni ili waonekane kuwa wapo wengi na pia waje na hoja zenye mashiko ili kuwarubuni wapiga kura vizuri. Najua sio rahisi kuwalipa chawa wote lkn ili mfike kule mnapotaka kufika inabidi muendelee kuwalipa ili vijana wawe na morali ya kutengeneza uongo kuhusu CCM na kuuleta hapa mtandaoni. Nawatakieni siku njema. Angalia mikutano ya watu wanaodai kuibiwa kura hapo chini 🤣🤣🤣🤣.

View attachment 2187100

View attachment 2187101

View attachment 2187103

View attachment 2187104

View attachment 2187105

View attachment 2187113

View attachment 2187116

View attachment 2187117

View attachment 2187118

View attachment 2187119

View attachment 2187120

View attachment 2187121

View attachment 2187123

View attachment 2187124
Muda uliotumia kuandika umeumia bure tu kwa sababu hujajua unaandika nini kwa akili kama zako na andiko lako hili,ndugu yangu pole kwa kuumwa,unaumwa sana.ila watapatikana wasamaria watakupeleka hospitali ukatibiwe.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania. Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa na CCM kupitia picha mbali mbali ili kuwafungua macho wale waliofungwa macho ili wasiweze kuona maendeleo na mazuri mbali mbali yaliofanywa na CCM, na kuwafungua akili wale waliofungwa akili ili wasiweze kugundua ukweli wa mazuri haya. Bila kupoteza muda naomba nitaje sababu zinazonifanya niichukie CCM leo. 1) Kitendo cha serikali ya CCM chini ya mh Jakaya Kikwete kuleta maendeleo kwa vijana, kama vile kuwatengenezea mazingira ya ajira mbali mbali, kujenga shule za kata, kusambaza barabara za mitaani, wafanyakazi wa serikali kupandishwa vyeo, kuongezewa mishahara na unafuu wa maisha, vilipelekea wananchi kukipenda chama hicho na kukiona kuwa ni mkombozi wao katika kipindi chote cha maisha yao. Hii ilijithibitisha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambapo japo wapinzani walikuwa na wagombea wazuri na wazoefu katika siasa, lakini walishindwa kufutukuta mbele ya chama hicho na kupelekea wapinzani hao kushindwa uchaguzi kwenye uraisi na ubunge. 2) Kitendo cha CCM kuja na mission ya kuwaazima wapinzani mgombea mmoja mwaka 2015, pia kimechangia mimi kuichukia CCM maana kitendo hicho kilisababisha upinzani usambaratike na kuacha mapengo makubwa ndani ya vyama vyao. Kwa mfano mpaka leo pengo la dr Slaa bado halijazibwa na mtu yoyote ndani ya chama chake cha zamani, japo wenye chama wanajitahidi kupachika pachika watu ili wavae viatu vyake lkn wapi bado viatu vyake vinawapwele pweta na hawajui wafanye nini ili apatikane mtu mwenye mguu kama wake ili viatu vimtoshe. Hapa sijazungumzia kundi kubwa la wabunge na madiwani lililoondoka na mzee wa mission baada ya kumaliza kile kilichompeleka upinzani. Upande wa pili napo prof akajikuta anabaki mwenyew pale buguruni baada ya wapemba kuhamisha ofisi ya chama chao huko kwao chake chake. 3) Kitendo cha raisi wa awamu ya tano kupitia CCM hayati dr Magufuli kuwapa watoto wa masikini haki ya kusoma bure, kujenga miundo mbinu mbali mbali kama vile kupeleka maji na umeme sehem mbali mbali za nchi, kushusha gharama za umeme na maji, kuwapa wanyonge haki ya kujitafutia riziki zao bila bughuza yoyote, kuongeza ujenzi wa viwanda mbali mbali na kuleta maendeleo ya watu na vitu, kulisababisha watanzania waiamini sana CCM na viongozi wake hadi kupelekea wapinzani kuangukia pua vibaya sana katika uchaguzi wa mwaka 2020, licha ya wapinzani hao kumsimamisha m'beleji mweusi awe mgombea wao wa uraisi, na bila kusahau kusambaza chawa katika mitandao yote ya kijaa wakiwa na ID's tano tano lkn haikusaidia kuwaepusha wapinzani hao na kipigo cha CCM chini ya aliekuwa mwenyekiti wao hayati J.P. Magufuli. Waswahili wana misemo yao miwili.. (a) dalili ya mvua ni mawingu (b) nyota njema huonekana asubuhi. Sababu ya kuweka misemo hiyo ni kutaka kuonesha dalili za CCM kushinda uraisi na ubunge zilianza kuonekana mapema sana kupitia mikutano mbali mbali ya kampeni za uchaguzi mkuu. Nitaweka picha hapo chini ili wenye akili huru (sio wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti) waweze kuona kilichoendelea. 4) Baada ya hayati Magufuli ambae alikuwa kiboko yao kufariki, wengi tukajua sasa ni zam ya upinzani kunyanyuka tena na maana pengine alieingia angeweza kwenda kinyume na sera za chama, sasa cha kushangaza huyu alieingia nae kaja na mikakati kabambe ya kuwaletea watanzania maendeleo kwa kuendeleza miradi yote ya CCM iliyoachwa na hayati na kaenda mbali zaidi kwa kuhakikisha ifikapo mwaka 2024 na kuendelea kila mwanafunzi wa kitanzania atakuwa anasoma katika mazingira mazuri, na pia maendeleo yatakuwa zaidi ya vile wengi walifikiria. So sioni tena dalili za upinzani kupata hoja nzuri ya kushawishi watanzania au nguvu ya kushinda uchaguzi ujao. Ushauri wangu kwa vile wananchi wengi wameamua kuendelea kuichagua CCM iendelee kuwaongoza, basi viongozi wa upinzani wasikate tamaa, wakaze buti waajiri lundo la chawa zaidi na ikiwezekana kila chawa amiliki IDs kumi mitandaoni ili waonekane kuwa wapo wengi na pia waje na hoja zenye mashiko ili kuwarubuni wapiga kura vizuri. Najua sio rahisi kuwalipa chawa wote lkn ili mfike kule mnapotaka kufika inabidi muendelee kuwalipa ili vijana wawe na morali ya kutengeneza uongo kuhusu CCM na kuuleta hapa mtandaoni. Nawatakieni siku njema. Angalia mikutano ya watu wanaodai kuibiwa kura hapo chini 🤣🤣🤣🤣.

View attachment 2187100

View attachment 2187101

View attachment 2187103

View attachment 2187104

View attachment 2187105

View attachment 2187113

View attachment 2187116

View attachment 2187117

View attachment 2187118

View attachment 2187119

View attachment 2187120

View attachment 2187121

View attachment 2187123

View attachment 2187124
Kuichukia CCM ni kama kujichukia wewe mwenyewe.
 
Pole sana mwanaccm mwenzangu kwani kama ndo hivi ccm yetu lazima iendelee kupotea kwani Bure Kabisa
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania. Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa na CCM kupitia picha mbali mbali ili kuwafungua macho wale waliofungwa macho ili wasiweze kuona maendeleo na mazuri mbali mbali yaliofanywa na CCM, na kuwafungua akili wale waliofungwa akili ili wasiweze kugundua ukweli wa mazuri haya. Bila kupoteza muda naomba nitaje sababu zinazonifanya niichukie CCM leo. 1) Kitendo cha serikali ya CCM chini ya mh Jakaya Kikwete kuleta maendeleo kwa vijana, kama vile kuwatengenezea mazingira ya ajira mbali mbali, kujenga shule za kata, kusambaza barabara za mitaani, wafanyakazi wa serikali kupandishwa vyeo, kuongezewa mishahara na unafuu wa maisha, vilipelekea wananchi kukipenda chama hicho na kukiona kuwa ni mkombozi wao katika kipindi chote cha maisha yao. Hii ilijithibitisha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambapo japo wapinzani walikuwa na wagombea wazuri na wazoefu katika siasa, lakini walishindwa kufutukuta mbele ya chama hicho na kupelekea wapinzani hao kushindwa uchaguzi kwenye uraisi na ubunge. 2) Kitendo cha CCM kuja na mission ya kuwaazima wapinzani mgombea mmoja mwaka 2015, pia kimechangia mimi kuichukia CCM maana kitendo hicho kilisababisha upinzani usambaratike na kuacha mapengo makubwa ndani ya vyama vyao. Kwa mfano mpaka leo pengo la dr Slaa bado halijazibwa na mtu yoyote ndani ya chama chake cha zamani, japo wenye chama wanajitahidi kupachika pachika watu ili wavae viatu vyake lkn wapi bado viatu vyake vinawapwele pweta na hawajui wafanye nini ili apatikane mtu mwenye mguu kama wake ili viatu vimtoshe. Hapa sijazungumzia kundi kubwa la wabunge na madiwani lililoondoka na mzee wa mission baada ya kumaliza kile kilichompeleka upinzani. Upande wa pili napo prof akajikuta anabaki mwenyew pale buguruni baada ya wapemba kuhamisha ofisi ya chama chao huko kwao chake chake. 3) Kitendo cha raisi wa awamu ya tano kupitia CCM hayati dr Magufuli kuwapa watoto wa masikini haki ya kusoma bure, kujenga miundo mbinu mbali mbali kama vile kupeleka maji na umeme sehem mbali mbali za nchi, kushusha gharama za umeme na maji, kuwapa wanyonge haki ya kujitafutia riziki zao bila bughuza yoyote, kuongeza ujenzi wa viwanda mbali mbali na kuleta maendeleo ya watu na vitu, kulisababisha watanzania waiamini sana CCM na viongozi wake hadi kupelekea wapinzani kuangukia pua vibaya sana katika uchaguzi wa mwaka 2020, licha ya wapinzani hao kumsimamisha m'beleji mweusi awe mgombea wao wa uraisi, na bila kusahau kusambaza chawa katika mitandao yote ya kijaa wakiwa na ID's tano tano lkn haikusaidia kuwaepusha wapinzani hao na kipigo cha CCM chini ya aliekuwa mwenyekiti wao hayati J.P. Magufuli. Waswahili wana misemo yao miwili.. (a) dalili ya mvua ni mawingu (b) nyota njema huonekana asubuhi. Sababu ya kuweka misemo hiyo ni kutaka kuonesha dalili za CCM kushinda uraisi na ubunge zilianza kuonekana mapema sana kupitia mikutano mbali mbali ya kampeni za uchaguzi mkuu. Nitaweka picha hapo chini ili wenye akili huru (sio wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti) waweze kuona kilichoendelea. 4) Baada ya hayati Magufuli ambae alikuwa kiboko yao kufariki, wengi tukajua sasa ni zam ya upinzani kunyanyuka tena na maana pengine alieingia angeweza kwenda kinyume na sera za chama, sasa cha kushangaza huyu alieingia nae kaja na mikakati kabambe ya kuwaletea watanzania maendeleo kwa kuendeleza miradi yote ya CCM iliyoachwa na hayati na kaenda mbali zaidi kwa kuhakikisha ifikapo mwaka 2024 na kuendelea kila mwanafunzi wa kitanzania atakuwa anasoma katika mazingira mazuri, na pia maendeleo yatakuwa zaidi ya vile wengi walifikiria. So sioni tena dalili za upinzani kupata hoja nzuri ya kushawishi watanzania au nguvu ya kushinda uchaguzi ujao. Ushauri wangu kwa vile wananchi wengi wameamua kuendelea kuichagua CCM iendelee kuwaongoza, basi viongozi wa upinzani wasikate tamaa, wakaze buti waajiri lundo la chawa zaidi na ikiwezekana kila chawa amiliki IDs kumi mitandaoni ili waonekane kuwa wapo wengi na pia waje na hoja zenye mashiko ili kuwarubuni wapiga kura vizuri. Najua sio rahisi kuwalipa chawa wote lkn ili mfike kule mnapotaka kufika inabidi muendelee kuwalipa ili vijana wawe na morali ya kutengeneza uongo kuhusu CCM na kuuleta hapa mtandaoni. Nawatakieni siku njema. Angalia mikutano ya watu wanaodai kuibiwa kura hapo chini .

View attachment 2187100

View attachment 2187101

View attachment 2187103

View attachment 2187104

View attachment 2187105

View attachment 2187113

View attachment 2187116

View attachment 2187117

View attachment 2187118

View attachment 2187119

View attachment 2187120

View attachment 2187121

View attachment 2187123

View attachment 2187124
Upumb.avu mtupu! Mtu anachukua picha za maeneo tofauti na kufanya ulinganifu.

Ni mwendawazimu pekee atachukua idadi ya watu waliohudhuria mkutano wa chama A Morogoro, kisha kulinganisha na waliohudhuria mkutano wa chama B Dar es Salaam.

Nchi hii wanaosababisha tuwe na mifumo mibaya ya utawala siyo watawala, bali ni watu wenye akili ndogo kama mleta mada. Watu wajinga na wanafiki kama hawa ndio daraja la watawala wenye dhamira chafu.
 
Jifunze kuandika kwanza
CCM ina bahati mbaya sana. Mara nyingi inatetewa na watu wajinga, wanafiki wenye low IQ. Hii ndiyo sababu iliyofanya utafiti wa TWAWEZA kufikia soluhisho la kitamka kuwa CCM inapendwa zaidi na watu wajinga.

Mtu kama huyu mwandika lisala hii ndefu, ukisoma tu, unaelewa wazi kabisa ni mtu menye akili na upeo mdogo.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania. Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa na CCM kupitia picha mbali mbali ili kuwafungua macho wale waliofungwa macho ili wasiweze kuona maendeleo na mazuri mbali mbali yaliofanywa na CCM, na kuwafungua akili wale waliofungwa akili ili wasiweze kugundua ukweli wa mazuri haya. Bila kupoteza muda naomba nitaje sababu zinazonifanya niichukie CCM leo. 1) Kitendo cha serikali ya CCM chini ya mh Jakaya Kikwete kuleta maendeleo kwa vijana, kama vile kuwatengenezea mazingira ya ajira mbali mbali, kujenga shule za kata, kusambaza barabara za mitaani, wafanyakazi wa serikali kupandishwa vyeo, kuongezewa mishahara na unafuu wa maisha, vilipelekea wananchi kukipenda chama hicho na kukiona kuwa ni mkombozi wao katika kipindi chote cha maisha yao. Hii ilijithibitisha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ambapo japo wapinzani walikuwa na wagombea wazuri na wazoefu katika siasa, lakini walishindwa kufutukuta mbele ya chama hicho na kupelekea wapinzani hao kushindwa uchaguzi kwenye uraisi na ubunge. 2) Kitendo cha CCM kuja na mission ya kuwaazima wapinzani mgombea mmoja mwaka 2015, pia kimechangia mimi kuichukia CCM maana kitendo hicho kilisababisha upinzani usambaratike na kuacha mapengo makubwa ndani ya vyama vyao. Kwa mfano mpaka leo pengo la dr Slaa bado halijazibwa na mtu yoyote ndani ya chama chake cha zamani, japo wenye chama wanajitahidi kupachika pachika watu ili wavae viatu vyake lkn wapi bado viatu vyake vinawapwele pweta na hawajui wafanye nini ili apatikane mtu mwenye mguu kama wake ili viatu vimtoshe. Hapa sijazungumzia kundi kubwa la wabunge na madiwani lililoondoka na mzee wa mission baada ya kumaliza kile kilichompeleka upinzani. Upande wa pili napo prof akajikuta anabaki mwenyew pale buguruni baada ya wapemba kuhamisha ofisi ya chama chao huko kwao chake chake. 3) Kitendo cha raisi wa awamu ya tano kupitia CCM hayati dr Magufuli kuwapa watoto wa masikini haki ya kusoma bure, kujenga miundo mbinu mbali mbali kama vile kupeleka maji na umeme sehem mbali mbali za nchi, kushusha gharama za umeme na maji, kuwapa wanyonge haki ya kujitafutia riziki zao bila bughuza yoyote, kuongeza ujenzi wa viwanda mbali mbali na kuleta maendeleo ya watu na vitu, kulisababisha watanzania waiamini sana CCM na viongozi wake hadi kupelekea wapinzani kuangukia pua vibaya sana katika uchaguzi wa mwaka 2020, licha ya wapinzani hao kumsimamisha m'beleji mweusi awe mgombea wao wa uraisi, na bila kusahau kusambaza chawa katika mitandao yote ya kijaa wakiwa na ID's tano tano lkn haikusaidia kuwaepusha wapinzani hao na kipigo cha CCM chini ya aliekuwa mwenyekiti wao hayati J.P. Magufuli. Waswahili wana misemo yao miwili.. (a) dalili ya mvua ni mawingu (b) nyota njema huonekana asubuhi. Sababu ya kuweka misemo hiyo ni kutaka kuonesha dalili za CCM kushinda uraisi na ubunge zilianza kuonekana mapema sana kupitia mikutano mbali mbali ya kampeni za uchaguzi mkuu. Nitaweka picha hapo chini ili wenye akili huru (sio wale wanaoshikiwa akili na mwenyekiti) waweze kuona kilichoendelea. 4) Baada ya hayati Magufuli ambae alikuwa kiboko yao kufariki, wengi tukajua sasa ni zam ya upinzani kunyanyuka tena na maana pengine alieingia angeweza kwenda kinyume na sera za chama, sasa cha kushangaza huyu alieingia nae kaja na mikakati kabambe ya kuwaletea watanzania maendeleo kwa kuendeleza miradi yote ya CCM iliyoachwa na hayati na kaenda mbali zaidi kwa kuhakikisha ifikapo mwaka 2024 na kuendelea kila mwanafunzi wa kitanzania atakuwa anasoma katika mazingira mazuri, na pia maendeleo yatakuwa zaidi ya vile wengi walifikiria. So sioni tena dalili za upinzani kupata hoja nzuri ya kushawishi watanzania au nguvu ya kushinda uchaguzi ujao. Ushauri wangu kwa vile wananchi wengi wameamua kuendelea kuichagua CCM iendelee kuwaongoza, basi viongozi wa upinzani wasikate tamaa, wakaze buti waajiri lundo la chawa zaidi na ikiwezekana kila chawa amiliki IDs kumi mitandaoni ili waonekane kuwa wapo wengi na pia waje na hoja zenye mashiko ili kuwarubuni wapiga kura vizuri. Najua sio rahisi kuwalipa chawa wote lkn ili mfike kule mnapotaka kufika inabidi muendelee kuwalipa ili vijana wawe na morali ya kutengeneza uongo kuhusu CCM na kuuleta hapa mtandaoni. Nawatakieni siku njema. Angalia mikutano ya watu wanaodai kuibiwa kura hapo chini 🤣🤣🤣🤣.

View attachment 2187100

View attachment 2187101

View attachment 2187103

View attachment 2187104

View attachment 2187105

View attachment 2187113

View attachment 2187116

View attachment 2187117

View attachment 2187118

View attachment 2187119

View attachment 2187120

View attachment 2187121

View attachment 2187123

View attachment 2187124
Utopolo mtupu?? Huu uandishi mkuu wewe ni Darasa la Saba la shule gani?
 
Back
Top Bottom