Hizi ndio faida za kutofunga simu(lock)

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,457
Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga.

1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa zinatafutwa no unazowasiliana nazo kwa ukawaida zinapogwa ili kupewa taarifa. Kama umelock wahuni watatembea na simu na utabak hapohapo.

2. Faida ya pili. Ukiibiwa simu kama iko locked cha kwanza kabisa mwizi anawaza jinsi ya kuibanjua ili auze au atumie mwenyewe. Akienda kuflash au kurestore kila kitu kinafutika. Ila kama haijafungwa mwizi anaweza kuitumia hivyo hivyo bila kufuta au kuanzisha upya akihofia Factory Reset Protection (FRP) akitumia hivyo hivyo unaweza kutrack na kuipata simu yako.

Hizo ndio faida za kutofunga simu. No 2 ndio ilinifanya nipate simu yangu baada ya kuibiwa wk mbili hivi. Kama una hoja tofauti karibu mezani
 
Mimi niliibiwa simu eneo ambalo fundi simu hawazidi watatu.

Nikaenda kwa fundi simu nikamwambia kuna ishirini hapa ikija simu aina fulani kutoa lock nijulishe nimeibiwa.

Siku ya tatu fundi ananiambia nimpe password mimi sikuchelewa kwenda na kufika nakuta simu yangu.
 
Hivyo mkuu unatushauli tuache makufuli wazi..??
Ila mtu afanye kitu kutokana na umuhimu wa hicho kitu! Kuna watu wamejaza mi xxx tu kwenye simu zao halafu kaweka password ngumu..😂

Hata ukifanikiwa kuijua hiyo password utakuta mi application ya udaku tu mara kikundi cha uanachama wa watu warefu duniani!… Mwengine pekupeku kundi!..

Hata hivyo mkuu ipo namna ya kuset ili kupatikana kwa hizo taarifa muhimu hata kukiwa na password.. hayo yameshafundishwa humu ila hata hivyo binafsi uchi sikai.. kwani hata kutoa line na kupiga watashindwa..?? Labda kama wao sio wasaidizi..😜
 
Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga.

1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa zinatafutwa no unazowasiliana nazo kwa ukawaida zinapogwa ili kupewa taarifa. Kama umelock wahuni watatembea na simu na utabak hapohapo.

2. Faida ya pili. Ukiibiwa simu kama iko locked cha kwanza kabisa mwizi anawaza jinsi ya kuibanjua ili auze au atumie mwenyewe. Akienda kuflash au kurestore kila kitu kinafutika. Ila kama haijafungwa mwizi anaweza kuitumia hivyo hivyo bila kufuta au kuanzisha upya akihofia Factory Reset Protection (FRP) akitumia hivyo hivyo unaweza kutrack na kuipata simu yako.

Hizo ndio faida za kutofunga simu. No 2 ndio ilinifanya nipate simu yangu baada ya kuibiwa wk mbili hivi. Kama una hoja tofauti karibu mezani
Hiyo ya FRP umebug maana simu ikiwa haina Lock ni kiasi cha kunavigate hadi kwenye Accounts then unadelete au kuchange kabla ya kufanya factory reset.
Hata kule Developer option kuna namna ya kuichenga FRP
 
Hivyo mkuu unatushauli tuache makufuli wazi..??
Ila mtu afanye kitu kutokana na umuhimu wa hicho kitu! Kuna watu wamejaza mi xxx tu kwenye simu zao halafu kaweka password ngumu..😂
Hata ukifanikiwa kuijua hiyo password utakuta mi application ya udaku tu mara kikundi cha uanachama wa watu warefu duniani!… Mwengine pekupeku kundi!..
Hata hivyo mkuu ipo namna ya kuset ili kupatikana kwa hizo taarifa muhimu hata kukiwa na password.. hayo yameshafundishwa humu ila hata hivyo binafsi uchi sikai.. kwani hata kutoa line na kupiga watashindwa..?? Labda kama wao sio wasaidizi..😜
Mkuu huo muda wa kutoa line yeye hana yeye anataka kutoa taarifa tu na achukue kifaa chake mpaka atafute pin ni saa ngap anaweza kukamatwa na mtu mwingine
 
Hiyo ya FRP umebug maana simu ikiwa haina Lock maani ni kiasi cha kunavigate hadi kwenye Accounts then unadelete au kuchange kabla ya kufanya factory reset.
Hata kule Developer option kuna namna ya kuichenga FRP
Teh teh...nacheka kigazeti. Labda kama unatumia android 5 au Tecno ndio maana unasema hivyo
 
Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga.

1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa zinatafutwa no unazowasiliana nazo kwa ukawaida zinapogwa ili kupewa taarifa. Kama umelock wahuni watatembea na simu na utabak hapohapo.

2. Faida ya pili. Ukiibiwa simu kama iko locked cha kwanza kabisa mwizi anawaza jinsi ya kuibanjua ili auze au atumie mwenyewe. Akienda kuflash au kurestore kila kitu kinafutika. Ila kama haijafungwa mwizi anaweza kuitumia hivyo hivyo bila kufuta au kuanzisha upya akihofia Factory Reset Protection (FRP) akitumia hivyo hivyo unaweza kutrack na kuipata simu yako.

Hizo ndio faida za kutofunga simu. No 2 ndio ilinifanya nipate simu yangu baada ya kuibiwa wk mbili hivi. Kama una hoja tofauti karibu mezani
No 1 anaweza kutoa lain na kuweka ktka cm ake na kupgiwa ndugu cm lazma ifungwe..kuna mambo mengi ndani ya cm...mengine ni siri ya jeshi
 
1: kupost vitu vitakavyokufanya uonekane kituko kwenye jamii katika mitandao ya kijamii, wengi wetu hatu logout kwenye accounts zetu

2:kuvunja mahusiano

3:Ndugu/watu uliowasevu kuambiwa watume pesa kwa haraka umepata tatizo
Ndio mana inashauriwa baada kumaliza kuperuzi kwenye mitandao toka nje (logout) hiyo ni kwa usalama zaidi.

Swala la ndugu kutuma pesa bila kuhakiki kwa kupiga simu ni uzembe.

Kutolock simu kunavunjaje uhusiano? Hoja hazina uzito kabisa
 
Medical ID inafunguka bila password hapo utakuta namba muhimu ... utakuta aina la group la Damu utakuta uzito .. urefu .. kama mtu anamagonywa mengine ...Nadhani inategemea na simu unayotumia
 
Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga.

1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa zinatafutwa no unazowasiliana nazo kwa ukawaida zinapogwa ili kupewa taarifa. Kama umelock wahuni watatembea na simu na utabak hapohapo.

2. Faida ya pili. Ukiibiwa simu kama iko locked cha kwanza kabisa mwizi anawaza jinsi ya kuibanjua ili auze au atumie mwenyewe. Akienda kuflash au kurestore kila kitu kinafutika. Ila kama haijafungwa mwizi anaweza kuitumia hivyo hivyo bila kufuta au kuanzisha upya akihofia Factory Reset Protection (FRP) akitumia hivyo hivyo unaweza kutrack na kuipata simu yako.

Hizo ndio faida za kutofunga simu. No 2 ndio ilinifanya nipate simu yangu baada ya kuibiwa wk mbili hivi. Kama una hoja tofauti karibu mezani
Haujawahi kumsikia waziri Mwakyembe kuwa ni kosa kisheria kutoifunga simu yako, unafundisha watu kuvunja sheria.
 
Back
Top Bottom