macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,335
- 57,211
Hee hee . Na kweli umezipangua zote. Mimi kwenye hii field niko tangu miaka ya 2000! Siyo tu kuwapo ila nimeisomea tena majuu. Wewe si Jamii Forum si ndiyo umeijua juzi juzi? Wengine tuko tangu enzi za Jambo Forum. Kwa taarifa yako: data ikiwa kwenye hizo dropbox etc ulizokariri na ukampoa mtu simu yako basi haziko salama! Na pia bado kuna vitu vingi tu huwezi kuweka huko...Inaonekana ndiyo umelimbukia kwenye haya mambo ya IT ukidhani unajua sana kumbe hujui chochote.Hoja zako napangua zote
1. Ulinzi wa dada uko pale pale, kuna njia nyingi za kuficha data mzee MEGA,DROPBOX,DRIVE MEDIAFIRE kwann usihifadhi huko? Kama unaogopa data kuleak ukiibiwa simu ndio utazipata bila kubackup?
2. Kama ni picha kuna option zaidi ya 1000 za kuficha bila kulok simu yako
Kwann usilok file 1 ambalo unaona ni muhimu na siri Kuliko kufunga simu yote?
Usitumie simu kwa kuwa una uwezo wa kumiliki smartphone mzee soma acha kukariri maisha. Kazi yenu kusoma udaku tu
