Hizi ndio faida za kutofunga simu(lock)

Hizi ndio faida za kutofunga simu(lock)

Hivi mnajua kuwa ni kosa kisheria simu kutakuwa na nywila (password) ???

Sasa endeleeni tu.
 
Ndio mana inashauriwa baada kumaliza kuperuzi kwenye mitandao toka nje (logout) hiyo ni kwa usalama zaidi.

Swala la ndugu kutuma pesa bila kuhakiki kwa kupiga simu ni uzembe.

Kutolock simu kunavunjaje uhusiano? Hoja hazina uzito kabisa

10. Subject to Regulation 5, a social media user shall:

(a) be responsible and accountable for the information he publishes on a social
media;

(b) use password to protect any user equipment or access equipment or hardware to prevent unauthorized access or use by unintended persons.

Adhabu pia imeelezwa katika kipengele cha 18 na cha mwisho wa kanuni hizi kama ifuatavyo:-

18. Any person, who contravenes the provisions of these Regulations, commits an offence and shall, upon conviction be liable to a fine of not less than five millionTanzanian shillings or to imprisonment for a term of not less than twelve months or to both.
 
NIKOSA KISHERIA TANZANIA HII HII
kutokuweka pin/password/Pattern kwenye simu ambayo ndani yake ina applications za mtandao ya kijamii na zinazotumika.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga.

1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa zinatafutwa no unazowasiliana nazo kwa ukawaida zinapogwa ili kupewa taarifa. Kama umelock wahuni watatembea na simu na utabak hapohapo.

2. Faida ya pili. Ukiibiwa simu kama iko locked cha kwanza kabisa mwizi anawaza jinsi ya kuibanjua ili auze au atumie mwenyewe. Akienda kuflash au kurestore kila kitu kinafutika. Ila kama haijafungwa mwizi anaweza kuitumia hivyo hivyo bila kufuta au kuanzisha upya akihofia Factory Reset Protection (FRP) akitumia hivyo hivyo unaweza kutrack na kuipata simu yako.

Hizo ndio faida za kutofunga simu. No 2 ndio ilinifanya nipate simu yangu baada ya kuibiwa wk mbili hivi. Kama una hoja tofauti karibu mezani
Sababu za kijima na kijinga sana hizi. Siku hizi watu wanatembea na ID na zinakuwa na taarifa. Pia simu unaweza kupata taarifa za mwenye simu bila kujua password yake. Waliotengeneza simu walikuwa na akili kuliko wenye kutoa hizi sababu za kijima hivyo waliweka njia ya kuweza kuhifadhi taarifa na kupiga simu wakati wa dhararu kama huu, inaonekana wewe hujui. Na la muhimu kabisa ni kuwa faida za kuweka password kwenye kwenye simu ni nyingi na muhimu sana kuliko kutoweka.
 
TCRA wanakulia timing wakukule kichwa usipoweka password kwenye kifaa chako kama simu,computer,tablet and the like
 
Sababu za kijima na kijinga sana hizi. Siku hizi watu wanatembea na ID na zinakuwa na taarifa. Pia simu unaweza kupata taarifa za mwenye simu bila kujua password yake. Waliotengeneza simu walikuwa na akili kuliko wenye kutoa hizi sababu za kijima hivyo waliweka njia ya kuweza kuhifadhi taarifa na kupiga simu wakati wa dhararu kama huu, inaonekana wewe hujui. Na la muhimu kabisa ni kuwa faida za kuweka password kwenye kwenye simu ni nyingi na muhimu sana kuliko kutoweka.
Maneno meeengi hujataja hata faida moja au hasara ya kutolock hujioni kama ww ni mpumbavu? Nilitegemea ungekuja na njia sahihi blaa blaa tu chokoleti ww
 
TCRA wanakulia timing wakukule kichwa usipoweka password kwenye kifaa chako kama simu,computer,tablet and the like
Watanzania ni wachovu wa kufikiri ndio mana hata sheria zingine hazikati kote kote.

Wanipe sababu ya mm kufunga simu yangu
 
Weka na faida za kuLock Simu kisha tuvipime uzito tuone kipi bora, Maana wote tunakubaliana kwamba kilakitu kinafaida na Hasara.
 
Ndio mana inashauriwa baada kumaliza kuperuzi kwenye mitandao toka nje (logout) hiyo ni kwa usalama zaidi.

Swala la ndugu kutuma pesa bila kuhakiki kwa kupiga simu ni uzembe.

Kutolock simu kunavunjaje uhusiano? Hoja hazina uzito kabisa
Wewe huwa unalog out baada ya kutumia mitandao "SEMA UKWELI"
 
Maneno meeengi hujataja hata faida moja au hasara ya kutolock hujioni kama ww ni mpumbavu? Nilitegemea ungekuja na njia sahihi blaa blaa tu chokoleti ww
Karne hii unataka ku-suggest hujui faida za kuweka password kwenye simu yako? Haya ni matokeo mengine mabaya kabisa ya elimu yetu ya kukariri. Mtu anashindwa kuchukuwa hata kitu kilicho mita moja mbele yake mpaka asogezewe. Mara nyingine jaribu kuficha ujinga ulionao. Haya.. unajifanya hujui umuhimu wa data zako kwenye simu kuwa secured mpaka uambiwe? Unajifanya hujui mtu mwenye nia mbaya akishika simu yako kama haina password anaweza kufanya nini mpaka uambiwe? Unajifanya hujui vitu vya siri na muhimu vinavyoweza kuhifadhiwa kwenye simu mpaka uambiwe? Pengine hata umuhimu wa kutembea huku umevaa nguo hujui! You must be kidding!
 
Miyeyusho yangu mingi ipo ktk sim nikiacha wazi mtu akiona ataniona sina maana i better lock
 
Sasa hivi wezo wakiiba simu hata hawaangaiki sana...Wamegundua mtindo wa kuuza simu kwa mfumo wa Spare parts
 
Medical ID inafunguka bila password hapo utakuta namba muhimu ... utakuta aina la group la Damu utakuta uzito .. urefu .. kama mtu anamagonywa mengine ...Nadhani inategemea na simu unayotumia
hata simu yangu ina iyo fitures
 
Karne hii unataka ku-suggest hujui faida za kuweka password kwenye simu yako? Haya ni matokeo mengine mabaya kabisa ya elimu yetu ya kukariri. Mtu anashindwa kuchukuwa hata kitu kilicho mita moja mbele yake mpaka asogezewe. Mara nyingine jaribu kuficha ujinga ulionao. Haya.. unajifanya hujui umuhimu wa data zako kwenye simu kuwa secured mpaka uambiwe? Unajifanya hujui mtu mwenye nia mbaya akishika simu yako kama haina password anaweza kufanya nini mpaka uambiwe? Unajifanya hujui vitu vya siri na muhimu vinavyoweza kuhifadhiwa kwenye simu mpaka uambiwe? Pengine hata umuhimu wa kutembea huku umevaa nguo hujui! You must be kidding!
Hoja zako napangua zote

1. Ulinzi wa dada uko pale pale, kuna njia nyingi za kuficha data mzee MEGA,DROPBOX,DRIVE MEDIAFIRE kwann usihifadhi huko? Kama unaogopa data kuleak ukiibiwa simu ndio utazipata bila kubackup?
2. Kama ni picha kuna option zaidi ya 1000 za kuficha bila kulok simu yako

Kwann usilok file 1 ambalo unaona ni muhimu na siri Kuliko kufunga simu yote?

Usitumie simu kwa kuwa una uwezo wa kumiliki smartphone mzee soma acha kukariri maisha. Kazi yenu kusoma udaku tu
 
Back
Top Bottom