Hizi kazi akiwa nazo mwanaume anaweza kula tunda hadi kusaza bila kuhonga ama kutumia gharama ndogo sana

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
wanaokula bila kuhonga

Wachungaji, maustadh na waganga - Hasa kwa wadada wanaotafuta watoto kwa maustadh, wachungaji na waganga feki. Mdada anaambiwa dawa inabidi iingie kwa kuchomekwa, kuna pepo lipo ndani inabidi litolewe kwa **oo yenye upako, n.k. 😂 😂 Wanawake wengi sana wanatoa kwa hii trick. Mwanamke akilete ujuaji anapigwa mkwara atatupiwa jini ama pepo litamsumbua, anaachia mzigo.

Walimu wa vyuoni - Na hapa ni pisi ndogo ndogo zile 16 hadi 22, Malecturer wanafaidi nyie!! Halafu usichojua ni kwamba pisi nyingi kali huwaga hazina akili za darasani basi hapa lecturer anateleza triiii mpaka maka, Lecturer wengine nao wanafelisha maksudi ili binti aanze kujileta mwenyewe, na pia wapo mabinti ambao wanawashobokea malecturer maana ni kazi yenye heshima hapo chuoni, vibinti vikishapata namba ya simu lazima vinaanza kupitia status zako kila siku, na baadae vitaanza kureply status, kinachofata ni lecturer kuamua tu.

Wapaka rangi - unakuta bidada kajiachia kabisa mapaja wazi, kanogewa na masaji ya mguu, ny*ge zimempanda si kitoto, binti anaomba mkayamalize faraghani

B. Wanaokula kwa uhakika ila kuna kuhonga kidogo
Bodaboda + wakaanga chipsi - usizichukulie poa lift za kumchukua mwanmke kutoka nyumbani kwenda ofisini,sokoni,bucha,chuoni, n.k. zinalewesha mno! ila kuna kuwajibika sasa.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.
 
wanaokula bila kuhonga

Wachungaji, maustadh na waganga - Hasa kwa wadada wanaotafuta watoto kwa maustadh, wachungaji na waganga feki. Mdada anaambiwa dawa inabidi iingie kwa kuchomekwa, kuna pepo lipo ndani inabidi litolewe kwa **oo yenye upako, n.k. 😂 😂 Wanawake wengi sana wanatoa kwa hii trick. Mwanamke akilete ujuaji anapigwa mkwara atatupiwa jini ama pepo litamsumbua, anaachia mzigo.

Walimu wa vyuoni - Na hapa ni pisi ndogo ndogo zile 16 hadi 22, Malecturer wanafaidi nyie!! Halafu usichojua ni kwamba pisi nyingi kali huwaga hazina akili za darasani basi hapa lecturer anateleza triiii mpaka maka, Lecturer wengine nao wanafelisha maksudi ili binti aanze kujileta mwenyewe, na pia wapo mabinti ambao wanawashobokea malecturer maana ni kazi yenye heshima hapo chuoni, vibinti vikishapata namba ya simu lazima vinaanza kupitia status zako kila siku, na baadae vitaanza kureply status, kinachofata ni lecturer kuamua tu.

Wapaka rangi - unakuta bidada kajiachia kabisa mapaja wazi, kanogewa na masaji ya mguu, ny*ge zimempanda si kitoto, binti anaomba mkayamalize faraghani


B. Wanaokula ila kwa kuhonga honga

Boda boda + wakaanga chipsi - usizichukulie poa lift za kumchukua mwanmke kutoka nyumbani kwenda ofisini,sokoni,bucha,chuoni, n.k. zinalewesha mno! ila kuna kuwajibika sasa.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.
Sisi Bodaboda hujatutaja mkuu, huwa tunajifyatulia kirahisi mno japo tunaharibu sana mafuta yetu
 
wanaokula bila kuhonga

Wachungaji, maustadh na waganga - Hasa kwa wadada wanaotafuta watoto kwa maustadh, wachungaji na waganga feki. Mdada anaambiwa dawa inabidi iingie kwa kuchomekwa, kuna pepo lipo ndani inabidi litolewe kwa **oo yenye upako, n.k. 😂 😂 Wanawake wengi sana wanatoa kwa hii trick. Mwanamke akilete ujuaji anapigwa mkwara atatupiwa jini ama pepo litamsumbua, anaachia mzigo.

Walimu wa vyuoni - Na hapa ni pisi ndogo ndogo zile 16 hadi 22, Malecturer wanafaidi nyie!! Halafu usichojua ni kwamba pisi nyingi kali huwaga hazina akili za darasani basi hapa lecturer anateleza triiii mpaka maka, Lecturer wengine nao wanafelisha maksudi ili binti aanze kujileta mwenyewe, na pia wapo mabinti ambao wanawashobokea malecturer maana ni kazi yenye heshima hapo chuoni, vibinti vikishapata namba ya simu lazima vinaanza kupitia status zako kila siku, na baadae vitaanza kureply status, kinachofata ni lecturer kuamua tu.

Wapaka rangi - unakuta bidada kajiachia kabisa mapaja wazi, kanogewa na masaji ya mguu, ny*ge zimempanda si kitoto, binti anaomba mkayamalize faraghani


B. Wanaokula kwa uhakika ila kuna kuhonga kidogo

Boda boda + wakaanga chipsi - usizichukulie poa lift za kumchukua mwanmke kutoka nyumbani kwenda ofisini,sokoni,bucha,chuoni, n.k. zinalewesha mno! ila kuna kuwajibika sasa.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.
Akili hizi ndo maana CCM wanaona bora wauze nchi
 
Oya umetusahau sisi ma hr wa kampuni za wahindi yaani we acha tu.
Umenikumbusha kuna jamaa alikuwa supervisor wa kampuni ya muhindi ya kutengeneza rasta. Alikuwa kitengo cha kuchukua vibarua wa kutwa ambao asilimia kubwa ni wanawake.

Ilikuwa ni kawaida kudai rushwa ya ngono ili awapatie kazi. Katika hangaika zake akadai ngono kwa demu wa kibarua mwingine wa kudumu.
Jamaa wakaweka mtego baada ya shift akajua anaenda kupewa mzigo.

Njemba kadhaa na mademu ambao walishachoka tabia yake walienda kujibanza karibu na guest ya tukio.
Alipoingia tu watu wakamvamia, wale kinadada walimvalisha wigi fasta na kumremba kama mwanamke.

Akiwa uchi wale wanaume kila mmoja alikwenda kupiga picha bila kuonyesha sura zao wakisimama karibu na mshkaji wakimgusisha uume. Na alipigwa picha kadhaa akiwa amewekwa mikao ya kudhalilisha. Hakuna aliemuingilia ila yalitengenezwa mazingira kuwa yeyote angeona picha lazima angeamini jamaa kalawatiwa.

Baada ya hapo kila kibarua alitumiwa zile picha, ilikuwa wakifika getini asubuhi wanamuonyesha moja ya picha zake; jamaa fasta anaruhusu waingie.

Manyayaso yalipozidi ilibidi aache kazi kwa fedheha. Alishindwa kwenda polisi kwa hofu kuwa aibu ingekuwa kubwa zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom