hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
I will be short

hizi jezi , mbona kama makengeza, mbele wapi, nyuma wapi??

mcheki kapombe amkuwa kama kanyongwa , ajulikani kageuka mbele au nyumA.


1756680015924.jpeg
 
Uto bwana ogopa sana kuwa na jirani yako Masikini wa mali na akili pia kama unaweza kumrubuni mwambie akuuzie eneo lake la sivyo kila siku usiku bundi watakusumbua yaan uto hawajawahi kuisha vioja
aviloa wewe unashindwa tu kuwa mkweli, kapombe mgongo wake upo mbele
 
Back
Top Bottom