Hizi habari za kuangalia matangazo online na kulipwa zina ukweli wowote?

Yes lakini ukiweka account uclaim hela hawakupi, wanachukua info zako kama email, jiina na account namba zinatumika kwenye scams,,,,huu utapeli ulikua unaongozwa nawatu wanajiota qmoneyclub, usipoteze muda wako boss.
Huyo scams ndo nini
 
Wakuu naomba msaada wenu kwa wale walio familiar na hii kitu.
Leo nimetumiwa link flani nikaingia nikakuta ni issue ya matangazo yani the way unavyoview matangazo yao wanakulipa sasa naomba kuuliza hii kitu INA ukweli na je kuna aliefanya akalipwa naombeni msaada
Ngoja niitafte link niiweke hapa
Usipoteze muda wako ni scam hakuna ela rahisi hivyo
 
Yes lakini ukiweka account uclaim hela hawakupi, wanachukua info zako kama email, jiina na account namba zinatumika kwenye scams,,,,huu utapeli ulikua unaongozwa nawatu wanajiota qmoneyclub, usipoteze muda wako boss.
WAo wanafaidika nini sasa
 
Mkuu wanasema nikifikisha dola 150 naweza kuwithraw sema njia zilizowekwa ndo zinanipa utata
Scam hutoweza kutoa hiyo ela.
Ukifikisha 150 ukataka toa utaambiwa leta referrals 40, ina maana waunge wengine 40, au lipia 5-10 usd.
Ukifanikiwa waunga utaambiwa ela imetumwa lakni hutokaa uione
 
Siokweli ela utamake in numbers lakini huwezi kamwe kuzidraw kiufupi ni wezi, maana hutakaa uweze kuzitumia
Ni afadhali uulize ni kwa jinsi gani pesa ulizotengeneza utazipata, kuliko kujifanya unajua wakati haujui.
Watanzania tunakuwa nyuma kwa ajili ya kukosa uelewa lakini tunajifanya kuwa tunaelewa. Ukweli ni kwamba ili pesa hizo uzipate zipo njia nyingi. Moja wapo ni kuwa na electronic wallet ambayo utaidownload kama application kwenye play store. Hapo pia inatakiwa uelewa. Ziko electronic wallet za namna nyingi na za matumizi mbalimbaliu, Zipo ambazo zinatambulika kimataifa na zinapokea na kutuma electronic money kama bitcoins, au kama dollas nk. Kwa hiyo ukitaka kuzidai lazima uwe na hiyo electronic wallet na wanakuingizia bila shida. Lakini pia ukiwa na Master card za benki unaingiziwa bila shida. Unaweza kuzitumia pesa hizi kununulia bidhaa kokote ulimwenguni kama vile kuagizia magari au bidhaaa mbalimbali. Watu wanaumizwa na D9 halafu wanashindwa kufanyakazi mitandaoni ambapo gharama yako ni muda na uelewa tu. HUlipi chochote zaidi ya bando lako. Badala ya kuendekeza udaku instagram, unaweza kufanyakazi mtandaoni na kujipatia pesa nzuri. Ona wenzenu hapa wanashangilia kula madola:
Alex Schultz I’ve got the money!! Didn’t expect that !!!. I’ve got $3800!
20 dollars turned to 3820)))), I’ve just got a message from the bank.
I'm surprised. No words to describe my happiness.
But from where do these large amounts come from and how long will such generosity last?
Review added 22.09.2017 12:36

Administration: Hello, Alex!
We have exclusive contracts with advertisers.
We plan to work for a very long time)), you’ll have orders, at least for the next year.
Changamkieni hiyo link na haulipi chochote!
 
253cb561f8015d46b7be2d2e9c5618eb.jpg
 
Njia sahihi ya kupata hiyo fedha ni kwa kutumia electronic wallet na wakupe kwa bitcoin. ukiwa na bitcoin kwenye electronic wallet unaweza kuitumia kununulia bidhaa popote ulimwenguni. Siyo busara ukawapa bank details zako, maana ni kweli wapo wengine ni matapeli.
 
Ni afadhali uulize ni kwa jinsi gani pesa ulizotengeneza utazipata, kuliko kujifanya unajua wakati haujui.
Watanzania tunakuwa nyuma kwa ajili ya kukosa uelewa lakini tunajifanya kuwa tunaelewa. Ukweli ni kwamba ili pesa hizo uzipate zipo njia nyingi. Moja wapo ni kuwa na electronic wallet ambayo utaidownload kama application kwenye play store. Hapo pia inatakiwa uelewa. Ziko electronic wallet za namna nyingi na za matumizi mbalimbaliu, Zipo ambazo zinatambulika kimataifa na zinapokea na kutuma electronic money kama bitcoins, au kama dollas nk. Kwa hiyo ukitaka kuzidai lazima uwe na hiyo electronic wallet na wanakuingizia bila shida. Lakini pia ukiwa na Master card za benki unaingiziwa bila shida. Unaweza kuzitumia pesa hizi kununulia bidhaa kokote ulimwenguni kama vile kuagizia magari au bidhaaa mbalimbali. Watu wanaumizwa na D9 halafu wanashindwa kufanyakazi mitandaoni ambapo gharama yako ni muda na uelewa tu. HUlipi chochote zaidi ya bando lako. Badala ya kuendekeza udaku instagram, unaweza kufanyakazi mtandaoni na kujipatia pesa nzuri. Ona wenzenu hapa wanashangilia kula madola:
Alex Schultz I’ve got the money!! Didn’t expect that !!!. I’ve got $3800!
20 dollars turned to 3820)))), I’ve just got a message from the bank.
I'm surprised. No words to describe my happiness.
But from where do these large amounts come from and how long will such generosity last?
Review added 22.09.2017 12:36

Administration: Hello, Alex!
We have exclusive contracts with advertisers.
We plan to work for a very long time)), you’ll have orders, at least for the next year.
Changamkieni hiyo link na haulipi chochote!
Hongera mkuu we unajua sana!
Kabla hujaanza kupambana na psychosocial,DS na mikozi ya LE hapo UDSL hii kitu nilifanya miaka hiyooo na knowledge yangu ya IT ckuambulia hata cent, mwenye masikio na asikie mwenye kujua kama wewe na aendelee. Tanzania sijui tulilogwa na nani.
 
Wapo wanaolipa na wapo wasiolipa. Neobux na Clicksense wanalipa ukitazama matangazo. Hata hivyo, huwezi kuwa tajiri au kutengeza pesa ya kueleweka kwa sababu ya masharti magumu waliyonayo. Pia, kuna idadi ya utazamaji wa matangazo kwa siku na huwezi kupata zaidi ya dola 0.02 labda uwe na 'referal'. Kwa kazi hii bora ushike jembe ukailime nchi!
 
Referal ni lazima maana kazi ya msingi unayolipwa ni kusababisha watu wengi wayaone matangazo. Kwa hiyo lazima ualike watu ili watazame pia matangazo. Wenyewe wanaamini katika wale uliowaalika kuna baadhi watanunua bidhaa, na huo ndio msingi Wa malipo.
Ila kila penye ukweli, utapeli pia hujipenyeza. Hatuwezi kukataa biashara halali ya madini kwa sababu tu kuna MTU alitapeliwa na kuuziwa vipande vya chupa akidanganywa kuwa ni almasi! Hapo ndipo tunapokosea!
 
Wapo wanaolipa na wapo wasiolipa. Neobux na Clicksense wanalipa ukitazama matangazo. Hata hivyo, huwezi kuwa tajiri au kutengeza pesa ya kueleweka kwa sababu ya masharti magumu waliyonayo. Pia, kuna idadi ya utazamaji wa matangazo kwa siku na huwezi kupata zaidi ya dola 0.02 labda uwe na 'referal'. Kwa kazi hii bora ushike jembe ukailime nchi!
Hapo ndipo tunapokosea. Hatusemi hiyo kazi ya kuwezesha matangazo kwenye mtandao itakufanya uwe tajiri. Lakini ni Mara mia kuliko kutumia mtandao kwa kuendekeza udaku na umbea.
Ifahamike kuwa hiyo ni kazi! Utaifanya kwa kukubaliana na kiasi wanacholipa na kwa kuelewa vizuri masharti ya kazi. Wengi hukimbilia kufanya hiyo kazi bila kuelewa masharti yake na wanaanza kudai wakati hawajatimiza masharti. Mwisho Wa siku wanadai wametapeliwa!
Msingi Wa kazi hii ni kuwezesha matangazo kuonekana mtandaoni kwa watu wengi! Sasa unakuta MTU matangazo ametazama peke yake na hajawezesha wengine kutazama kwa kuwaalika kwa mujibu Wa maelekezo. Halafu anategemea alipwe! wapi na wapi?
Wengine hawajui namna ya kuzidai na kuzipokea! Sasa utazipataje? Hebu fikiria MTU hana akaunti, hana simu, hana anuani, lakini anataka umtumie pesa azipate sasa hivi! Inawezekanaje? Ushauri ni kwamba ili upunguze risk, usimpe yeyote Namba yako ya benki Bali tumia electronic wallet na pia ujue ni kwa namna gani pesa iliyoko kwenye electronic wallet unaweza kutumia.
.
 
Back
Top Bottom