Chadema inawasichana na wanawake wazuri sanaNaombeni msaada wenu hizi t shirt hapa dar nazipata wapi na zinauzwa Bei Gani
Nikivutaga bangi ama nikinywaga konyagi huwa na huu ujasiri kuliko hata wewe.Kufa ni faida
Kwani Mimi nimeomba unga kwenye huu Uzi wangu nafikiri kama kichwani kwako Kuna matatizo labda umasikini unakusumbua ndio maana uaongea vitu visivyoeleweka njaa imeshafika kichwani kwako pambana na Hali Yako mzeeNikivutaga bangi ama nikinywaga konyagi huwa na huu ujasiri kuliko hata wewe.
Unajua ukweli ni kua hata upinzani ama CCM wakichukua Dola hakuna wa kukuletea UNGA wa bureee hapo nyumbani Kwako
Ivi,
Usha mtumia pesa ya pampas mke wa MDUDE kwa ajili ya mtoto 🥺
Wewe ni kajinga na kapumbavu ka kiwango Cha SGR.Kwani Mimi nimeomba unga kwenye huu Uzi wangu nafikiri kama kichwani kwako Kuna matatizo labda umasikini unakusumbua ndio maana uaongea vitu visivyoeleweka njaa imeshafika kichwani kwako pambana na Hali Yako mzee
Pambana na Hali Yako mzee njaa zako sijakusababishia Mimi huu Uzi ni wa kuulizia bei ya hiyo nguo na sehemu nitayoipata hamna Cha bure duniani hivyo pambana na umasikini wako sio hasira unaniletea Mimi sijakusababishia huo umasikiniWewe ni kajinga na kapumbavu ka kiwango Cha SGR.
Fuatilia thread na michango yangu MBALIMBALI kujua kama Mimi ni maskini wa kiwango icho UNACHO jizatiti kunibandika.
Shout up!! na Sito jibishana na wewe again.
NB.
AT LEAST ""IF YOU CAN USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE THEN ,YOU WILL NOT BEGGING FOR FOOD""
Nenda ofisi za Kyandema!Naombeni msaada wenu hizi t shirt hapa dar nazipata wapi na zinauzwa Bei Gani
Sahihi kabisaNo reform No election
Naipenda hii.Naombeni msaada wenu hizi t shirt hapa dar nazipata wapi na zinauzwa Bei Gani
Utanunua ngapi?Nimepata wazo kwanini chadema wasi chapishe ma tshirts kama kontena mia mbili then ziandikwe NO REFORMS NO ELECTION![]()
ZIKAGAWIWA KILA MKOA NA WILAYA NCHINI KILA WILAYA AT LEAST 100,000 T-SHIRT ZISAIDIE KUTOA ELIMU HII YA NO REFORMS NO ELECTION
100,000 pcUtanunua ngapi?
Sumu tenaa..Yaani nipo Kijiji Cha wapumbavu nawaza nikivaa hionjinsi watakavyotaka hata kuniwekea sumu...