Hizi fulana zinapatika wapi Kwa hapa Dar?

Hizi fulana zinapatika wapi Kwa hapa Dar?

Nimepata wazo kwanini chadema wasi chapishe ma tshirts kama kontena mia mbili then ziandikwe NO REFORMS NO ELECTION 😊

ZIKAGAWIWA KILA MKOA NA WILAYA NCHINI KILA WILAYA AT LEAST 100,000 T-SHIRT ZISAIDIE KUTOA ELIMU HII YA NO REFORMS NO ELECTION
 
Kufa ni faida
Nikivutaga bangi ama nikinywaga konyagi huwa na huu ujasiri kuliko hata wewe.

Unajua ukweli ni kua hata upinzani ama CCM wakichukua Dola hakuna wa kukuletea UNGA wa bureee hapo nyumbani Kwako

Ivi,
Usha mtumia pesa ya pampas mke wa MDUDE kwa ajili ya mtoto 🥺
 
Nikivutaga bangi ama nikinywaga konyagi huwa na huu ujasiri kuliko hata wewe.

Unajua ukweli ni kua hata upinzani ama CCM wakichukua Dola hakuna wa kukuletea UNGA wa bureee hapo nyumbani Kwako

Ivi,
Usha mtumia pesa ya pampas mke wa MDUDE kwa ajili ya mtoto 🥺
Kwani Mimi nimeomba unga kwenye huu Uzi wangu nafikiri kama kichwani kwako Kuna matatizo labda umasikini unakusumbua ndio maana uaongea vitu visivyoeleweka njaa imeshafika kichwani kwako pambana na Hali Yako mzee
 
Kwani Mimi nimeomba unga kwenye huu Uzi wangu nafikiri kama kichwani kwako Kuna matatizo labda umasikini unakusumbua ndio maana uaongea vitu visivyoeleweka njaa imeshafika kichwani kwako pambana na Hali Yako mzee
Wewe ni kajinga na kapumbavu ka kiwango Cha SGR.

Fuatilia thread na michango yangu MBALIMBALI kujua kama Mimi ni maskini wa kiwango icho UNACHO jizatiti kunibandika.

Shout up!! na Sito jibishana na wewe again.

NB.
AT LEAST ""IF YOU CAN USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE THEN ,YOU WILL NOT BEGGING FOR FOOD""
 
Wewe ni kajinga na kapumbavu ka kiwango Cha SGR.

Fuatilia thread na michango yangu MBALIMBALI kujua kama Mimi ni maskini wa kiwango icho UNACHO jizatiti kunibandika.

Shout up!! na Sito jibishana na wewe again.

NB.
AT LEAST ""IF YOU CAN USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE THEN ,YOU WILL NOT BEGGING FOR FOOD""
Pambana na Hali Yako mzee njaa zako sijakusababishia Mimi huu Uzi ni wa kuulizia bei ya hiyo nguo na sehemu nitayoipata hamna Cha bure duniani hivyo pambana na umasikini wako sio hasira unaniletea Mimi sijakusababishia huo umasikini
 
Back
Top Bottom