mbona me a/c yangu ya Nbc waliniambia sihtaji tena kuiupdate cz haikua na mapungufu yoyote,au inakuaje hapo mdau?
Nilazima watanzania wajuwe hili. Kumbuka hili zoezi litakuwa na faida kubwa sana ktk uchumi wa nchi.
mbona me a/c yangu ya Nbc waliniambia sihtaji tena kuiupdate cz haikua na mapungufu yoyote,au inakuaje hapo mdau?
BOT nao wanafuata sheria tu so labda walaumiwe waliotunga sheria
Heri mimi sina bank account na bank yoyote.