hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 933
- 1,983
Kwanza haiwezekani sisi kuwashinda wa Nigeria. Jamaa IQ zao ziko juu sana.
Toaninza kwenu basi. Tatizo letu sisi ni kubisha tu. Tungekuabtunabisha halafu tutoe mbadala wa tunachokikataa.Vitu vingi wanavyopima haviendani na mwafrika🤣hizo IQ ,GDP ,per capital income ni kuwaonea waafrika tu ..Mifumo wanaanzisha wao ila wanataka watu wote wawe sawa ..Ndio maana wakipima ukubwa wa uume ,bara la Asia linakuwa la mwisho ,hiyo ni asili yao.
Jifunze kitu kinaitwa Idiocracy,ni hali ya wajinga kuchukua nafasi za uongozi Wakati wasomi na wenye Uwezo wanapuuzwa,ukiona hayo yanatokea jua kua kizazi hicho IQ mdogo,angalia Tanzania now Waliopo Bungeni,vigezo vya kua mbunge na wimbi la wasanii wa TikTok kutaka kua Wabunge,hiyo haikupi picha tushakua taifa Hilo??nchi hii Gigy money ana ushawishi Kuzidi Dr Hadija Jilala,na hata humjui,..Sawa nimekuelewa, huenda sijapata nafasi ya ku socialize sana na jamii, maana kwa kuangalia tu watu wananonizunguka huwa sioni kama wana IQ ndogo.
Ingawa ninaamini hao wanaofanya ufisadi, chuki, wizi, uchawi ni watu wenye IQ ndogo ila siku tukiruhusu kuongozwa na watu wenye IQ kubwa tutaendelea na hao watu Bongo wapo wengi tu, ila hawana mamlaka
Nimeelewa point yako 👍
Wewe umegundua nini na wenzako weusi tofauti na uchawaKwamba simu zimegunduliwa na average Europeans sio?
imekugusa sana. PoleVitu vingi wanavyopima haviendani na mwafrika🤣hizo IQ ,GDP ,per capital income ni kuwaonea waafrika tu ..Mifumo wanaanzisha wao ila wanataka watu wote wawe sawa ..Ndio maana wakipima ukubwa wa uume ,bara la Asia linakuwa la mwisho ,hiyo ni asili yao.
Pole ipi wakati wewe ni mweusi mpaka kwenye makalio sio mzunguimekugusa sana. Pole
Kuna siku rais wenu akiwa Marekeni Ikulu akiwa kaenda kuomba omba msaada aliulizwaKipimo cha IQ kinaanzia kwa anaye waongoza. Haina haja yakubishana sana ukweli ndo huo. Siku zote tunaamini kiongoz ndo mwenye maamuzi yote yataifa. So kama ye ndo anamaamuzi yote yataifa maana yake ni mtu timamu na mwenye kujielewa.
Sasa ikiwa nyie ni simba mkaongozwa na kondoo tunaamini wote nikondoo au simba wenye hakili za kondoo. So kabla yakujaji kuhusu nyinyi na IQ zenu angalieni kwanza mwakilishi wenu mana huwawakilisha kwakila kitu. OVER
Tumeharibu sana nchi zetu kupitia uongozi, sisi kama WaafrikaUkiangalia Nigeria, Afrika kusini, Zambia, Kongo n.k , kote huko unajilaumu kwa nini hujawa mwanasiasa. Ukiwa mwanasiasa, hutopata mafasi ya kuonesha uwezo wako.
Wapo viongozi waliojaribu kuweka misingi sawa ila msukumo wa hao wazungu, na uchawa wa ndani ya nchi ulifanya waondoke duniani. Kuna viongozi ambao wana profile kubwa halafu kichwani ni zero.Kinachorudisha Africa nyuma kwa asilimia kubwa ni mambo ya kisiasa kuliko kukosa ubunifu.
Sasahivi tunaishi lifestyle ya wazungu na tunatumia elimu ya wazungu. Baada ya Watanzania wengi kupata elimu maana yake tulitarajia kuanza ubunifu wa kiteknolojia na sisi. (Kwa sasa ni kuendeleza vilivyopo kufanya viwe vitu vingine bora)
Africa ubunifu unafanyika vizuri tu, ukitaka kuona tembelea maonesho ya kiteknolojia yanayofanyika kwenye vyuo vikuu nchini utaona vijana wana idea nyingi sana na unaona kabisa mtu ni intelligent
Shida inakuja kwamba viongozi wa nchi ndio wenye low IQ na wao suala la kupambana na umasikini Tanzania walishakatia tamaa siku nyingi zilizopita, ndio maana vijana wenye ideas wanaishia mtaani au wenye bahati wanachukuliwa na nchi za wazungu
Africa haiendelei kwa sababu watu wasio na akili ndio wanashika madaraka, watu wenye IQ kubwa hawana nguvu kwenye jamii
Hiyo clip ilikuwepo You tube kioindi hicho baada ya kikao hicho. ntaichekNi ya kweli haya?
Tumeharibu sana nchi zetu kupitia uongozi, sisi kama Waafrika
Sijui tunafanyaje kujitoa kwenye hii hali ya madikteta wanaorudisha nyuma taifa ila wanataka kusifiwa tu, ukikosoa unaenda na maji
Kupata kiongozi mzalendo nako sio rahisi kwa nchi kama TanzaniaMi nadhani, ikitokea kiongozi mzalendo angalau kama yule mjomba, pamoja na mapungufu yake, aungwe mkono kwa nguvu. Pia tuwe wanasiasa na sisi katika chama chochote kile ili kuweka upinzani wa mambo kinzani kwa namna yoyote.
Kuna siku rais wenu akiwa Marekeni Ikulu akiwa kaenda kuomba omba msaada aliulizwa
Kwa nini nchi yako ni masikini ? Jibu lake lilichekesha kikao. Alijibu sijui kwa nini ni masikini
Umaskini wa nchi uko mikononi mwao na kwakua wanajali maslah yao hawezi jua kwanin nchi nimaskini . Afu ndo mdai et mkiambiwa IQ ndogo mnaleta hoja zakujitetea kivp sasa hapo. Kama wanao hawajavaa nguo uulizwe kwanin wanao hawajavaa nguo useme sjui nikwanin hawajavaa. Utakua kichekesho had keshoKuna siku rais wenu akiwa Marekeni Ikulu akiwa kaenda kuomba omba msaada aliulizwa
Kwa nini nchi yako ni masikini ? Jibu lake lilichekesha kikao. Alijibu sijui kwa nini ni masikini.