Iko package kwa ajili yako changamka
....na mwisho wa siku :lol:?
Happy ending....mi napata nnachotaka(patna) na wewe unapata unachotaka au sio?
enh aseme kabisa mapema sio baadae oh mi nimeshaoa au nimeshaolewa mambo ya kubaroliwa akhu ,huku hamna polisi jamii unadhani watu watasingizia nini!akhaKaribu.
Una Patna?
nilivyokuja mbio nikajua ntakuta tayari mchele ulishamwagwa, lolHa ha ha ha ha,
We nawe mpekuzi,
Mpaka umepaona.
Mwenyewe nilikuwa nimejimaliza hapo.
Namaanisha Kupelekana.
FP lol.
enh aseme kabisa mapema sio baadae oh mi nimeshaoa au nimeshaolewa mambo ya kubaroliwa akhu ,huku hamna polisi jamii unadhani watu watasingizia nini!akha
karibu ukaribie
uchukue kiti ukalie
nilivyokuja mbio nikajua ntakuta tayari mchele ulishamwagwa, lol
Document kwanza,
Mzigo baadae.
Haya ngoja niingie Chimbo langu.
Ila Hyo Package iwe ya kitu kinachoeleweka.
mwenzangu, naona hajajitokeza anayejisikia kusutwa, lolHe!
Shosti,
Mh! Kweli mke mwenzio kazi ipo.
Afu wiki hii hatujamsuta mtu.
mwenzangu, naona hajajitokeza anayejisikia kusutwa, lol
msisitizo ni kuwa ukungwi unaanza tu pale mkaguzi akishakamilisha ukaguzi na kujiridhisha..............
msisitizo ni kuwa ukungwi unaanza tu pale mkaguzi akishakamilisha ukaguzi na kujiridhisha..............
salama mamito?
Akaguliweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee