Shindwa kabisa na hilo pepo likutoke,malipo gani wataka?
Ushan'tibua.
Sikupi Patna.
Patner nae anatakiwa awemo humu ndani?
Karibu.
Una Patna?
Naona unaanza kucheza na moto mapema!
Pole sana Ciello rafiki, maadamu miss Madame B limemfikia hili shaka ondoa, utapata soon.Usikasirike Shoga.
Ngoja nikutafutie ila kwa muda huu ambao nakutafutia,njoo tujibanze kwa Rutta wangu kwanza mpaka hapo nitakapokutafutia,umesikia Ciello?
I dont want
umeona eeeh! labda domo zege, ndo maana anataka tumuunganishe, lol!we mamito changamkia mgeni huyo unasubiri hadi kina siye tukuoneshe oooh!
Madame B aku simtaki Rutta ana wivu sana pia kushare siwezi kuhimil vishindo mie ntafutie wangu alon
Sasa pepo gani jamani Madame B? Kwani kitu chenye thamani ni hela tu? Au we unataka pesa bhaaasss? SEMA TU
unaweza ukapewa holiday package na patna wako au gift voucher za shoping au fuel card huwezi jua
Hujaona hata avatar yake achilia mbali jinsia ushaanza kuuliza patna!
kweli una hisia kali sana
Pole sana Ciello rafiki, maadamu miss Madame B limemfikia hili shaka ondoa, utapata soon.
Kwa tip tu, unaweza kucheck na Erickb52 alikuwa anataka kuongeza mke, au mchumba wangu TANMO yupo kwenye maandalizi ya ndoa, anaweza akaunganisha akaoa 2 kwa mpigo....... ila kuhusu huyu TANMO muulize pia my sweetie wii sweetlady kama atakubali kuwa na ma wiii wa2
umeona eeeh! labda domo zege, ndo maana anataka tumuunganishe, lol!
Yani nina hisia acha tu.
Ayumi umempata?
ha haaaaaaaaaaaaa, fanya the needful miss letuHyo labda hapo juu itoe.
Ni domo zege tena zege la Twiga Cement.
hapo kwenye RED pamenipita, mweeeeeeeeeeeeeee.............. sijui hata umemaanisha nini, lolFP siku hizi watu wanapekekana ki-Wema Sepetu.
Unamwaga midorale mpaka mkwe anakuachia mwanae userebuke nae.
Chezea Illuminat weye!!
Hahaaa Madame B bado sijampata Ayumi wangu, ila nimesoma Babuu blessed anatafuta dume wa kumzalisha pet dog, labda ndo huyo, najaribu kuarenj kama wewe na mjomba angu Preta mnaweza kufanya ambush kwa Babu kuona kama ndo mwenyewe.
ha haaaaaaaaaaaaa, fanya the needful miss letu
Malipo sh ngapi?
Biashara asubuhi.....