Hivi Zain Africa Challenge iliishia wapi?

Hivi Zain Africa Challenge iliishia wapi?

Zain Inter-University Competition.

Ni mashindano yaliyokuwa yanauweka uchi ubovu wa elimu ya Tanzania.

Worst of the Worst.
 
Ishu ya branding kutoka Zain kwenda Airtel ndio sababu kubwa. Kingine pia ni kuwa kampuni iliyokua inaendesha hilo shindano mkataba uliisha kwa wadhamini wakuu Zain/Airtel.

Kwahiyo ikitokea mdhamini mwingine akakubaliana basi shindano litarudi tena kwasababu idea na copyright ya shindano ni la wenye hyo kampuni ila mdhamini anatafutwa tu ili kunogesha na kusponsor
 
Zain Inter-University Competition.

Ni mashindano yaliyokuwa yanauweka uchi ubovu wa elimu ya Tanzania.

Worst of the Worst.
Hapana sio ubovu wa elimu bali to be specifically ilikua tatizo la lugha yaani English.
 
Shindano hilo lilipoteza mvuto baada ya Tanzania kila mara kushika mkia hivyo washindani wakawa ni walewale Kenya na Uganda.
 
Zain ilikuwa Transformed to Airtel, so hata operation ilibadilika kidogo
 
Hebu tuangalie swali la upendeleo analopewa mshindani toka Tanzania baada ya kushindwa kujibu maswali mengi, swali: Nitajie nina la Waziri mkuu wa Tanzania. Swali hilo limekaaje kwa mwanafunzi wa chuo kikuu!
 
Hapana sio ubovu wa elimu bali to be specifically ilikua tatizo la lugha yaani English.
... kwanini Kiswahili hakikutumika kama lugha ya kujibia maswali ilhali wakijua ni official and teaching language ya the biggest EA country? Lakini bado hata ingekuwa kwa Kiswahili exposure ya vijana wetu ni ndogo sana kuweza ku-compete na "wenzao".
 
... kwanini Kiswahili hakikutumika kama lugha ya kujibia maswali ilhali wakijua ni official and teaching language ya the biggest EA country? Lakini bado hata ingekuwa kwa Kiswahili exposure ya vijana wetu ni ndogo sana kuweza ku-compete na "wenzao".
Kwani ilihusisha EA peke yake mbona WA walihusika example Ghana , Senagal niliwaona kwenye hiyo competition

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Zain ilikuwa inamilikiwa na Mo Ibrahim na hata hayo mashindano ya inter university competition ilikuwa ni moja ya initiative ya bilionea huyo.

Sasa hii airtel sijui ya wahindi,sidhani kama wana huo moyo wa kirudisha kwa jamii.
Baada ya Zain kufa na kipindi kikafa. Labda Airtel waifufue hii idea upya. Tena kipindi hiki cha Corona watapata watazamaji wengi kichizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe unakijua kiswahili unakisikia?

Soma kitabu cha "mtawa mweusi" or "the black hermit" kama utakielewa kwa lugha ya kiswahili
... kwanini Kiswahili hakikutumika kama lugha ya kujibia maswali ilhali wakijua ni official and teaching language ya the biggest EA country? Lakini bado hata ingekuwa kwa Kiswahili exposure ya vijana wetu ni ndogo sana kuweza ku-compete na "wenzao".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... kwanini Kiswahili hakikutumika kama lugha ya kujibia maswali ilhali wakijua ni official and teaching language ya the biggest EA country? Lakini bado hata ingekuwa kwa Kiswahili exposure ya vijana wetu ni ndogo sana kuweza ku-compete na "wenzao".
Hapana Kiswahili sio official teaching language,official medium of instruction kwa tanzania kuanzia elimu ya Sekondari hadi chuo kikuu ni English.

Ila kama tujuavyo Kiingereza ni tatizo kubwa kwa wasomi wetu hata waliopo ngazi ya Chuo Kikuu.Uwezo wa kujibu maswali na kujieleza kwa Kiingereza ni tatizo kubwa.

Nakumbuka kwenye hili shindano kulikua na kipengele kimoja ambapo washiriki kutoka vyuo husika walikua wanachagua topic ya kuizungumzia.Nakumbuka washiriki wa Chuo Kikuu Mzumbe walichagua kumzungumzia Mwalimu Nyerere matokeo yake wakashindwa kuwasilisha kwa lugha ya Kiingereza na badala yake wakamzungumzia kwa Kiswahili....ilibidi ziwekwe sub-titles baada ya kuhaririwa.
 
Tulilazwa by then millenium towers..room $250, ilikuwa experience nzuri sana.
 
Hapana Kiswahili sio official teaching language,official medium of instruction kwa tanzania kuanzia elimu ya Sekondari hadi chuo kikuu ni English.

Ila kama tujuavyo Kiingereza ni tatizo kubwa kwa wasomi wetu hata waliopo ngazi ya Chuo Kikuu...
Wakipata kazi ya kufundisha kiswahili Afrika Kusini itabidi wafundishe kwa subtitles!
 
... maana yangu ni kwamba washiriki wangeruhusiwa kutumia lugha wanazozimudu zaidi as long as are their national languages including Kireno, Kifaransa, n.k.
Wanafunzi wa vyuo vikuu Afrika Mashariki iliyotaealiwa na mwingereza na kufanya mitihani ya Cambridge na East Africa School Certificate tegemea uwezo wao itakuwa sawa vinginevyo kuna tatizo kwenye nchi husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom