Barakoa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 769
- 1,387
Hakika kilikuwa ni kipindi kinachovutia wengi; watoto, vijana na hata wazee. Umaridadi wa bwana John Sibi-Okumu katika kuuliza maswali ulikifanya kipindi na mvuto maradufu.
Wale jamaa walikuwa sharp sana, maana kuna muda kabla hata muulizaji hajamaliza kuuliza swali, tayari alikuwa anapewa jibu.
Je, nini kilifanya hiki kipindi kupotea licha ya mvuto wake?
Nini kilikuwa kinakuvutia kwenye hiki kipindi ?
Wale jamaa walikuwa sharp sana, maana kuna muda kabla hata muulizaji hajamaliza kuuliza swali, tayari alikuwa anapewa jibu.
Je, nini kilifanya hiki kipindi kupotea licha ya mvuto wake?
Nini kilikuwa kinakuvutia kwenye hiki kipindi ?
