Hivi Wazee Wanaenda wapi hapa Dar es Salaam

Hivi Wazee Wanaenda wapi hapa Dar es Salaam

Asilimia kubwa ya watu wanapofikia umri wa utu uzima wanakua hawawezi tena purukushani na kelele za mijini .. ambapo inawalazimu kusogea pembezoni mwa mji kama sio kijijini kabisa ambapo watapata hali ya utulivu na kufaidi maisha yao ya uzee ..

Ova!
 
Kunakuaga na ile mikutano ya viongozi wa serikali na wazee wa jiji la Dathlam (in Makonda voith)
 
Kuna siku nilikaa mgahawa mmoja kkoo, kikaja kibabu kikaagiza chips yai, nikajisemea tu kimoyo moyo "babu wazee wenzio wanagonga mihogo mixa ugolo" bado nawaza babu akapaza sauti " weweeee ukwaju uko wapi, sioni ukwaju hapa"
 
Mkuu acha kututia hofu wanaume,life expectancy ya mwanamke kwa Tanzania Ni 69 years Wakati mwanamme ni 68 ,hii age difference ni ndogo Sana.

Kuhusu wajane kuwa wengi Ni kwamba wanaume wengi tunaoa wanawake tunaowazidi umri ,hebu chukulia mwanamme wa miaka 60 anaoa binti wa miaka 25 ,hapa unategemea Nani atatangulia kufa?,pia wanaume wengi Ni bread winners,so wanajihusisha na kupitia changamoto nyingi Zinazotia maisha yao hatarini.
 
Wapo tele Kuna mmoja tumetoka kumpiga mkong'oto juzi hapa Manzese anatoa mpaka machozi wanasema ni mchawi
 
Back
Top Bottom