Mkuu acha kututia hofu wanaume,life expectancy ya mwanamke kwa Tanzania Ni 69 years Wakati mwanamme ni 68 ,hii age difference ni ndogo Sana.
Kuhusu wajane kuwa wengi Ni kwamba wanaume wengi tunaoa wanawake tunaowazidi umri ,hebu chukulia mwanamme wa miaka 60 anaoa binti wa miaka 25 ,hapa unategemea Nani atatangulia kufa?,pia wanaume wengi Ni bread winners,so wanajihusisha na kupitia changamoto nyingi Zinazotia maisha yao hatarini.