guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,277
- 2,436
Wasalaamu wakuu.
Kuna uwezekano mkubwa ya kuwa wanaume tunapotea mapema sana hasa kwenye hili jiji.
Yaani June nilienda kijijini nimekutana na wazee wa miaka hiyo bado wanakula nchi.
Lakini hapa Dar unaweza kaa mwaka usikutane na hata na mzee mmoja.
La pili, nimekumbuka ile hafla ya makonda na wajane pale Mlimani city, wamama around 40s ni wajane.
Wanaume tule maisha, life expectancy yetu ni ya mashaka.
Kuna uwezekano mkubwa ya kuwa wanaume tunapotea mapema sana hasa kwenye hili jiji.
Yaani June nilienda kijijini nimekutana na wazee wa miaka hiyo bado wanakula nchi.
Lakini hapa Dar unaweza kaa mwaka usikutane na hata na mzee mmoja.
La pili, nimekumbuka ile hafla ya makonda na wajane pale Mlimani city, wamama around 40s ni wajane.
Wanaume tule maisha, life expectancy yetu ni ya mashaka.
