Nimekuwa nikijiuliza sana hili suala la mtu kutamani kuoga matusi katika akaunti zake za mitandao ya kijamii huwa linatokana na nini?
Kuna hawa vijana wawili wa timu moja kubwa hapa nchini,mmoja ana mwanya na mwingine alionekana kulia kwenye arusi ya rafiki yake.
Huyu mwenye mwanya hawezi kuisemea vizuri timu yake bila kuidhalilisha timu pinzani.
Na kila akiandika habari za timu yake lazima amtaje mpinzani kwa ubaya.Anapofanya hivi anajua wazi atatukanwa kuwa ye ni shoga,ila anaonekana kupenda sana hali hiyo.
Huyu mwingine alionesha kulia huku akijua wazi kitendo kile kitafanya watu wamjadili kama mtu aliyeumia kunyang'anywa mume.
Nauliza hivi hali hii kwa nini hawa watu wanaipenda?Mwanaume kutamani kuitwa mtu wa upinde?
Au ni matangazo yao ya biashara yanayofanywa kwa ubunifu?
Kuna hawa vijana wawili wa timu moja kubwa hapa nchini,mmoja ana mwanya na mwingine alionekana kulia kwenye arusi ya rafiki yake.
Huyu mwenye mwanya hawezi kuisemea vizuri timu yake bila kuidhalilisha timu pinzani.
Na kila akiandika habari za timu yake lazima amtaje mpinzani kwa ubaya.Anapofanya hivi anajua wazi atatukanwa kuwa ye ni shoga,ila anaonekana kupenda sana hali hiyo.
Huyu mwingine alionesha kulia huku akijua wazi kitendo kile kitafanya watu wamjadili kama mtu aliyeumia kunyang'anywa mume.
Nauliza hivi hali hii kwa nini hawa watu wanaipenda?Mwanaume kutamani kuitwa mtu wa upinde?
Au ni matangazo yao ya biashara yanayofanywa kwa ubunifu?