Kwamtoro au Farkwa?Nimeona kabila langu linazungumziwa nipo nikaja resi I'm proud to be a @sandawe sandawe
Kisandawe kipo kama kizuluMfanyakazi wangu ni msandawe, akiongea ndugu zake kwenye simu huwa nafurahi sana anavyoongea hiyo lugha yao.
Anasonya sonya na ulimi unalia do do do
Hawa wanaongea kama wale KHOSA wa Africa kusini....wale BUSHMANWasandawe wazuri sana. Ila sio wachoyo. Sijui Dodoma na Singida kuna laana gani? Wana dental formula nzuri sana. Hapa Dodoma ninao wawili.
Kuna Sehemu Inaitwa "MAUNO"Kwamtoro au Farkwa?
Hapo kwenye kusonya Sonya na do do do nyingi hata wazulu wanaongea hi VP. Pengine wasandawe ni wasauziMfanyakazi wangu ni msandawe, akiongea ndugu zake kwenye simu huwa nafurahi sana anavyoongea hiyo lugha yao.
Anasonya sonya na ulimi unalia do do do
Picha zao tafadhali, wengine hatuwajui
UongoNikusahihishe hapo kwenye hospital huwa wanaenda ,shule nliyosoma singida ipo karibu na makazi ya wahadzabe na nlishawahi kuongozana na mmoja wa akina mama na mtoto wake wakienda kwenye health center ambapo na mim nlikua nnaelekea huko huko.
Harufu zao ni balaa ilibidi milango iachwe wazi.
Kuna mwingine tulipanda naye gari kutoka singida to dodoma tukampa biscuits nayeye akanunua soda akanywa akatupa tunywe aiseh tulitamani kukimbia!
Harufu yake tu ilikua inatutesa sembuse soda aliyoweka mate , tuliikataa kistaarabu.
Hahaha dah noma....wanadumisha Mila na desturi....wamewapiku hadi wamasaiHawaogi Mpaka Mvua Iwanyeshee
Masai Wanangoja Kwa Mbali Sana YaaniHahaha dah noma....wanadumisha Mila na desturi....wamewapiku hadi wamasai
Frk mkuuKwamtoro au Farkwa?
Wazulu ni jamii ya wabantu ambao walikuja sauzi miaka mingi iliyopita. Hiyo sonya na do do do ni kati ya matamshi fulan yanayoongelewa katika lugha ya khoisan ambao ndio wenyeji halisi na asili wa afrika kusini na pia kwa hapa kwetu hiyo sonya na do do do ni kati ya matamshi fulan ya lugha ya wasandawe ambao inasemekana ni moja kati ya makabila mawili au matatu yenye asili hasa ya tanganyika ambayo leo ni Tanzania. Hao wazulu unaosema waliiba baadhi ya lafudhi na matamshi kutoka kwa wenyeji wao ambao ni hao khoisan au Bush man.Hapo kwenye kusonya Sonya na do do do nyingi hata wazulu wanaongea hi VP. Pengine wasandawe ni wasauzi
Hahah msandawe mwenzangu wewe, karibu KwaMtoro mkuu.Nimeona kabila langu linazungumziwa nipo nikaja resi I'm proud to be a @sandawe sandawe
Kuna mkundulu pia, kwa warangi huko.Kuna Sehemu Inaitwa "MAUNO"
kwaiyo na wamasai nao wanajiona born town?Yaani hawa jamaa hata wamasai wanawashangaa walivo wakienyeji
Hawaogi Mpaka Mvua Iwanyeshee
HavifananiKisandawe kipo kama kizulu
Wamangati ndiyo mwishooo wa woteMasai Wanangoja Kwa Mbali Sana Yaani