Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,665
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?
 
Dooh wewe bado sana...kua uyaone kijana.

Kama umepata chance ya kuongea naye at least chukua namba...mengine yatajiset.

Unajua kupenda si neno ddogo...
 
siku ya kwanza unamwambia lengo lako?
lengo lipi hilo ambalo lipo linaelea elea tu na ukimwona mtu tu linamuangukia?
 
ukiwa una nia ya kumchezea waweza mwambia chochote mda wowote, lakini kama wataka wa kukufuta machozi inabidi uwe na subira.
 
hii topic inawahusu wanaume,haya tiririkeni jinsi ya kumpa line mtu mpka anakubali:confused3:
 
Bora ufanye kila uwezalo kuhakikisha unamuona tena au yeyd anakutafuta tena! Hizi nakupenda zipo nyingi mno mpaka hazina maana tena
 
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?

Unakuwa Umempenda au umemtamani?
 
HAHAHAAAAAAA!!!!!!!!! Love at first sight Exists!!!!!!!!!

Hivi mambo za kuuambiana nimekupenda naomba jibu kumbe bado zipogi eeeeh?????????!!!!!!!!!

Mi nishazoea gangnam style ya mtaani kwetu, mnasomana kiutu uzima ngoma inogile!

Ole wako ukosee kusoma signal, iwake red wee uivagae uzani green, utalambwaje mabao ya uhakika! Hapana chezeya wa beijing!
 
Back
Top Bottom