Kila jambo linataka maombi siyo kujifanyia tu, mara nyingi kwenye mambo makubwa kama hayo kunakuwa na upinzani mkubwa sana...Usiwalaumu kwenye kuchumbiwa kuna mengi.. Vita ni kubwa
Kiufupi tu ni kwamba unatakiwa kumzalisha mwanamke ndio ukatoe mahari na kutangaza ndoa ata akikukimbia kabla ya ndoa unakua huna ulichopoteza.
Waliowahi kupitia hii vita wana ushuhuda mkubwa sanaKila jambo linataka maombi siyo kujifanyia tu, mara nyingi kwenye mambo makubwa kama hayo kunakuwa na upinzani mkubwa sana...
Mshana waelezee vizuri wafungukeWaliowahi kupitia hii vita wana ushuhuda mkubwa sana
Kuna kile kisa kililetwa humu JF na mhusika mwenyewe.. Alimkataa mwanaume dakika za mwisho tena siku ya send off.. Baadae zilipomrudi akaja hapa kuomba ushauri.. Huo ni mfano mmoja tuu ipo lukukiMshana waelezee vizuri wafunguke
Pole sana chiefNilimtongoza akakubali nikaenda kwao nikatoa posa baada ya hapo Mahali nikatoa ndugu na jamaa wakaandaa harusi bado wiki moja kufunga ndoa mchumba akakataa 😣😣😣.
Hivi viumbe nikavishusha thamani kabisa
Duh huyo muuaji kabisaKuna kile kisa kililetwa humu JF na mhusika mwenyewe.. Alimkataa mwanaume dakika za mwisho tena siku ya send off.. Baadae zilipomrudi akaja hapa kuomba ushauri.. Huo ni mfano mmoja tuu ipo lukuki
🤣🤣🤣🤣🤣 na kwanini uforce sasa?Of Ofcoz ndoa inakupa status flani adi mashost wanakutamania....ila unayokwenda kukutana nayo huko kama uliforce sasa😓😓
Ni hakika yaniUsiwalaumu kwenye kuchumbiwa kuna mengi.. Vita ni kubwa
Ile story iko hapa JFDuh huyo muuaji kabisa
Kuitwa Mrs raha wewe! Usisikie binti anasema "siolewi najizalia zangu watoto wawili nalea" unajiuliza anazaa na nani sasa! Kumbe ni maumivu yanauzidi moyo anaamua kujifariji ivo🤣🤣🤣🤣🤣 na kwanini uforce sasa?
Mahari.....blalifishUliludishiwa mahali yako
Wazinzi katika ubora wao!Mbinu ya kivita hii, na haijawai kufeli
Hii ndiyo trick nzuri kwa sasa hivi... Jeuri ya mwanamke inaishaga kabisa! Labda afanye abortion tu.Kiufupi tu ni kwamba unatakiwa kumzalisha mwanamke ndio ukatoe mahari na kutangaza ndoa ata akikukimbia kabla ya ndoa unakua huna ulichopoteza.