Hivi wanawake wanajiendekeza au?

Status
Not open for further replies.
Marehemu hasn pope kweli ni mwanaume watoto 7.
Sisi wa leo tunataka utajiri tu tunaogopa kuwazalisha hawa viumbe.
Hebu tuwaonee huruma tuwazalishe tu hata mtoto mmoja mmoja wasiteseke mwanzo wa uzee wao.
 
Hii sio kwa wanawake tu ata kwa wanaume huwa inatokea japo ni mara chache chache.

Hii inaweza sababishwa na kulazimishwa na wazazi kuolewa.
2.Tamaa: unakuta dem anatamaa ya mali/utajiri anakubari kuchumbiwa ili tu akaishi maisha ya ndoto zake ila baadae anagundua kuwa hana hisia na yule aliemchumbia tena bali alikubari kwa kusukumwa na tamaa na sio upendo
3. Ushirikina nao pia unausika kwenye jamii zetu hasa za kiswahili sio kila mtu anafurahia jambo zuri kwa wenzao
 
Kiufupi tu ni kwamba unatakiwa kumzalisha mwanamke ndio ukatoe mahari na kutangaza ndoa ata akikukimbia kabla ya ndoa unakua huna ulichopoteza.
Hii ndiyo trick nzuri kwa sasa hivi... Jeuri ya mwanamke inaishaga kabisa! Labda afanye abortion tu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom