MwanaSaikolojia
Senior Member
- Jan 9, 2015
- 197
- 62
Habari yenu guys.
Statistics(takwimu) zinaonesha kuwa waathirika wa VVU (UKIMWI) nchini Tanzania wengi wao ni wanawake yaani tena kwa ratio kubwa. Inasemekana watu 7 kati ya 10 walioathirika na VVU Tz ni wanawake.
Swali ambalo jibu sipati: Hivi ina maana hawa dada zetu ndo wanaongoza kuchepuka.
#CONFUSED
Statistics(takwimu) zinaonesha kuwa waathirika wa VVU (UKIMWI) nchini Tanzania wengi wao ni wanawake yaani tena kwa ratio kubwa. Inasemekana watu 7 kati ya 10 walioathirika na VVU Tz ni wanawake.
Swali ambalo jibu sipati: Hivi ina maana hawa dada zetu ndo wanaongoza kuchepuka.
#CONFUSED