Hivi wanawake mna matatizo gani?

Hivi wanawake mna matatizo gani?

People walk out of marriages yes, but hadi kuruhusu shahawa zifike kwenye uterus yako ziwe siku safe au za hatari ni kukosa busara kabisa!

Katoka nje kwamba jamaa mbegu zake si imara, kwamba hazirutubishi? Kwa miaka 10 zimekuwa zikifia njiani kipindi zinaelekea kwenye uchavushaji? Maana miaka 10 nayo mingi, japo kuzaa ni majaliwa.

Au mama anajua hata mtoto wa kwanza (marehemu) alikuwa si wake, hivyo amefanya hivo kumfichia jamaa yako/wew aibu?

Ushauri.
1.Kwa kuwa mimba ni ya miezi miwili aisafishe, aanze upya na mme wake! Apige tako kama alilopiga kwa mchepuko iingie.

2. Kama hawezi akaolewe na huyo mtia mimba, afu jamaa aanze upyaaaaaaaaa! Ila ajitahidi atie mimba mapema, miaka kumi ni mingi mono, akidelay stori itajirudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazinzi na warawiti hawata uona ufalme wa Mungu.Amwache mpaka akitubu,maana kukubali sio kutubu hivyo inawezekana kasha jihalalishia.
 
Utaishije na mwanamke msaliti mkuu?
People walk out of marriages yes, but hadi kuruhusu shahawa zifike kwenye uterus yako ziwe siku safe au za hatari ni kukosa busara kabisa!

Katoka nje kwamba jamaa mbegu zake si imara, kwamba hazirutubishi? Kwa miaka 10 zimekuwa zikifia njiani kipindi zinaelekea kwenye uchavushaji? Maana miaka 10 nayo mingi, japo kuzaa ni majaliwa.

Au mama anajua hata mtoto wa kwanza (marehemu) alikuwa si wake, hivyo amefanya hivo kumfichia jamaa yako/wew aibu?

Ushauri.
1.Kwa kuwa mimba ni ya miezi miwili aisafishe, aanze upya na mme wake! Apige tako kama alilopiga kwa mchepuko iingie.

2. Kama hawezi akaolewe na huyo mtia mimba, afu jamaa aanze upyaaaaaaaaa! Ila ajitahidi atie mimba mapema, miaka kumi ni mingi mono, akidelay stori itajirudia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuta huyo mwanaume hana nguvu za kuzalisha!!! Miaka 10 hawajapata mtoto tena baada ya huyo kufariki, hata mtoto wa nje hana? Labda mke kachoka kua mpweke akaamua kuongeza familia kabla hajafanya maamuzi aende hosp kwanza akacheki afya yake.. ukute hata huyo mtoto aliyefariki hakua wa kwake
 
Jamaa before hakuamni mpka alipombana mkewe, alitoa mpka namba ya simu, mwamba akampigia simu kuthibitisha, matokeo yake ikawa kweli! Jamaa alienda mbali Zaid akamtafute mpk baba wa huyo jamaa kumwelezea kisa hicho!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndiyo inaitwa "mwana kutafuta, mwana kulipata" , yeye alipoanza kumdodosa wife kuhusu ujauzito ina maana
tayari machale yalikuwa yamemcheza. Uamuzi wa kuendelea na utafiti wake ilibidi awe tayari na matokeo yoyote ya utafiti wake maana ndio "kutafuta". Sasa "kalipata" jibu atekeleze tu alichokuwa amepanga kabla ya kuanza utafiti wake.
 
Tafuta nawe tia mimba kisha elekeza huduma zote huko kwake, kata kwa huyo mbeba mimba nje ahudumiwe na baba wa mtoto wake mtarajiwa kama atavumilia basi unaweza mletea nae mtoto wa mwanamke mwenzake amlee la asha vuta ulie mpa ujauzito.

Habari wadau?

Moj kwa moja najitakita kwenye maada husika! Kuna mshikaji wangu kanifuata kuomba ushauri, lakin cha ajabu nimeshindwa kumshauri kabisa!

Kisa chenyewe kiko hivi: Mshikaji wangu ana mke wake walioishi nae kwa miaka kumi, (walioana tangu mwaka 2010), lakin kwa muda huo walijaaliwa kupata mtoto mmoja, bahat mbaya mtoto huyo alidumu kwa siku Saba toka azaliwe, baadae alifariki dunia.

Cha ajabu ni kwamba mwanamke ameenda kudate (kuchepuka) na mwanaume mwingine na akalewa ujauzito, mshikaji amegundua na alivyombana mkewe amekiri kuwa ni kweli.

Mshikaji Bado anaishi na huyo mke lakini mpaka Sasa anazidi kubaki njia panda, anashindwa amfanye nini huyu mwanamke kwa aibu aliyomletea ndani.

Ujauzito una miezi miwili Sasa!

Wadau, nisaidieni nimshauri nini huyu jamaa?

Karibuni tafadhali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hii ishatokea inamana huyu mwanamke alikuwa hampendi jamaa anaishi labda sababu inayo mfanya awe nae Kama Hana pesa ipo sababu nyingine
Hebu tuigeuze story kidogo. Mfano mke wa jamaa angekuwa hana uwezo wa kushika mimba. Halafu akaenda kuzaa na mwanamke mwingine..ungelizungumziaje hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tuigeuze story kidogo. Mfano mke wa jamaa angekuwa hana uwezo wa kushika mimba. Halafu akaenda kuzaa na mwanamke mwingine..ungelizungumziaje hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mpenzi una akili sawa sawa?!

Hivi ukatombwe huko mimi nije kulea damu sio yangu.....?!

Mimi nikileta mtoto ambae sie wako utalea kwa gharama zangu na sitakusumbua kuhusu kumleta mama mtu katika uhusiano wetu maana mtoto atakuwa wetu na tutalea sisi pamoja.

Ila wewe ukitombwa ukazalia nje, ukaniletea damu sio yangu, yaani mimi natoa hela ya chakula, mavazi, ada, na matibabu kulipia mtoto ambae in future atakuja jua tu kuwa baba yake yupo..... Na hata ikatokea tumekorofishana tukaachana unadhani huyu mtoto atabakia na mimi, si atakufuata mama yake, na wewe unadhani utamwambia mazuri kuhusu mimi, si utanichafua na utamuelekea baba yake waendelee mimi hapo nakuwa nimefanya kazi ya kanisa..... Nani anataka huo ufala....?!


Msipende kulinganisha wanaume na wanawake inapokuja issue ya maswala ya ndoa... Hatulinganishwi katu.... Na si kwamba mwanaume kapendelewa ni nature ya jamii sababu kuna vitu ambavyo hata sisi wanaume tunaona wanawake mnapendelewa ila tunakubali sababu tunajua ninyi ni wanawake na mna utofauti na sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom