_ly
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 537
- 1,713
ushauri wa nn sasa apo wakt adi biblia imeandika mwanamke anaweza kuachika ikiwa ni muasherati au mchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa bro, UMENENA VYEMA YAAN HUYU MBUYU TWITE ANAGEGEDWA MPK MIMBA? NA ALICHOKUWA AMEPANGA NI KUMBAMBIKIA JAMAA, SEMA AKAUSHTUKIA MCHEZO!MWAMBIE APIGE CHINI HUYO MBUZI HAKUNA NAMNA
YAANI MWANAMKE AKIFIKIA HATUA YA KUPANUA MAPAJA KWA JAMAA NJE, UJUWE AMEKUDHARAU SANA NA HAJAUANZA SIKU HIYO HUO MCHEZO
INASIKITISHA SANA MKUU KUNA MALAYA WA AINA TAFAUTI SIKU HIZI MWAMBIE AWE MAKINI
UYO MWANAMKE THAMANI YAKE SIO KUOLEWA, SIO KILA MWANAMKE THAMANI YAKE NI KUOLEWA.. HUYO THAMANI YAKE NI IYO KUJIPIGIA UKASEPA (tumefikia mahali pabaya sana)
MWAMBIE APIGECHINI HAKUNA NAMNA PIGA CHINI
WAPO WENGI HAO..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaropoka ropo ropoKitanda hakizai haramu, Yaliyotokea yametokea msamehe maisha yaendelee

Sawa
baadhi ya watu hivi vitu wanachukulia simple, Atari sana
Wewe unahusikaje na mimba ya shem wako ?Habari wadau?
Moj kwa moja najitakita kwenye maada husika! Kuna mshikaji wangu kanifuata kuomba ushauri, lakin cha ajabu nimeshindwa kumshauri kabisa!
Kisa chenyewe kiko hivi: Mshikaji wangu ana mke wake walioishi nae kwa miaka kumi, (walioana tangu mwaka 2010), lakin kwa muda huo walijaaliwa kupata mtoto mmoja, bahat mbaya mtoto huyo alidumu kwa siku Saba toka azaliwe, baadae alifariki dunia.
Cha ajabu ni kwamba mwanamke ameenda kudate (kuchepuka) na mwanaume mwingine na akalewa ujauzito, mshikaji amegundua na alivyombana mkewe amekiri kuwa ni kweli.
Mshikaji Bado anaishi na huyo mke lakini mpaka Sasa anazidi kubaki njia panda, anashindwa amfanye nini huyu mwanamke kwa aibu aliyomletea ndani.
Ujauzito una miezi miwili Sasa!
Wadau, nisaidieni nimshauri nini huyu jamaa?
Karibuni tafadhali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pembe la ng'ombe halifichiki kirahisiMkuu pole sana, kama unampenda bado mke funika kombe mwanakharamu apite, ila piga marufuku ukaribu wa hao watu wawili na mwambie mkeo asimwambie huyo jamaa kuhusu ujauzito wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kirahisi hivyo ulee mtoto unajua asilimia zote sio wako na mke alichepuka?? Kama aliweza kwenda kuvua pichu unadhani atakaa nalo rohoni asimwambie huyo jamaa kuhusu mtoto never atajua tu.. Apige chini hamna muda wa kupoteza.Mkuu pole sana, kama unampenda bado mke funika kombe mwanakharamu apite, ila piga marufuku ukaribu wa hao watu wawili na mwambie mkeo asimwambie huyo jamaa kuhusu ujauzito wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ninyi ndio mnazaa nje kuliko sisi umewahi kujiuliza mna matatizo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu sijui mnaongea Upupu ganiHebu tuigeuze story kidogo. Mfano mke wa jamaa angekuwa hana uwezo wa kushika mimba. Halafu akaenda kuzaa na mwanamke mwingine..ungelizungumziaje hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa yako ndani ya miaka 10 alishindwa kumpa mkewe mimba nyingine baada ya mtoto wa kwanza kufariki?
Apigwe chini au asipigwe chini. NI SAWA.Watu sijui mnaongea Upupu gani
Kwaiy Nyie Mnaona ni Sawa Yeye kwend kubeba Mimba Nje
Mbaya zaidi
Yeye hajamzalia Mtoto miaka kumi ya Ndoa Mtoto Amefariki janamke linaenda kubeba Mimba Nje
Kufa kwa mtoto baada ya kuzaliwa ni kawaida Sanaaaaa
Mtoa Mada hajaingizia kesi ya mume kutokua na uwezo
PIGA CHINIIIII
SASA HAPO WAKAE CHINI WAONGEE NINI ??

Hahahaha![]()
baadhi ya watu hivi vitu wanachukulia simple, Atari sana
Sent using Jamii Forums mobile app