Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 629
- 1,187
Mkuu acha kulalamika sana mwambie aje kuchukua ghetto/lodge.We mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?
View attachment 3457889
thubutuHakuna. Kwani nyie mnaombwa pesa? Ukiombwa papuchi nawe omba uboho. Ngoma draw.
kauziwa kwa bei ya usiku bado analiaMkuu acha kulalamika sana mwambie aje kuchukua ghetto/lodge.
ni biashara mkuu na inabidi ununue.
ππππuhusiano upo mkuuPapuchi na hela vinahusiana vipi?!
Mkuu 5k kweli unaianzishia Uzi?We mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?
View attachment 3457889
πππmapeemaa kabisaaaWe mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?
View attachment 3457889
Ndo dawa Yao hao, kama anaweza ajeNakazia hapaπ ..hili ndio huwa jibu langu.
Uzi ufungwe.Haiuzwi wala Haitolewi bure
πππππππππmtu asiombe help mbona nyie mnaombaga papuchi hapohapo
πππ jamaniSolution ni Ku concentrate na NYETO
πππππNa iyo buku 5 haujaombwa peke ako. Unakuta mmeombwa watu 15. Akitumiwa na watu 10 baadae anaenda zake kitambaa cheupe anatulia mezani na bucket ya savana kwa hela zenu ili wadau wakijileta wajue yeye ni expensive wapande dau kubwa
πππππYan kuombwa ef 5 Tu ndo uje useme huku,tafuta hela au kuwa na roho ya kiume basi
Rudisha basi Ile avatar yako yaani hii hata sijakutambua haraka. Ile iko very hotππππ
πππππMkuu 5k kweli unaianzishia Uzi?
Shida haipo kwenye huyo mwanamke aliekuomba 5k, shida ipo kwako kuchukia Kuombwa hiyo Hela, ukumbuke saiv Wana mbinu kama hakutaki na anataka ukae nae mbali, anaanza vibomu,
Kingine jitahidi uwe unadate na mwanamke ambaye ata ukimwambia babe niazime 50k kesho ntakurudishia anakupa, ss unakuta mwanaume upo mabovu,unatafuta mwanamke nae choka mbaya nn unategemea?
Wachaaa wee!! ππππRudisha basi Ile avatar yako yaani hii hata sijakutambua haraka. Ile iko very hot
Ahahahaha.Wanaboa sana mkuu yaani wengi wamejaa tamaa na maisha ya anasa ni shida sana Kuna mmoja nilimtongoza tu akaanza mara nitumie pesa mara umeniandalia sh ngap yaani mkuu ni shida sikumtafuta tena hamu na yeye ilikata
Ahahah.Wachaaa wee!! ππππ
Fear women ππAhahahaha.
Sio kila kuombwa pesa basi ni pesa inatafutwa, hapana, kuna muda mwingine ni kuwa hakuweza kukukataa instantly, so hii ni njia moja wapo ya kukupiga matukio ili ujikatae mwenyewe.
NB
Japo ukituma usifikiri kama atakurudishia!! Hapana, hiyo imeenda ππ