Lady.A
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 392
- 191
mimi huwa najiuliza mara nyingi bila jibu, hivi inakuwaje mwanaume anapocheat au kufanya kosa la usaliti wa namna yoyote ile, uliona kama ni kitu cha kawaida tu, bila kufikiri ni maumivu gani anayoyapata msalitiwa.
ila sasa ngoma inakuja kuwa tamu ukigeuza upande wa pili, yaani mwanaume kusalitiwa au mwanamke kusaliti! hapo utadhani hilo kosa ni la jinai, wakati yeye analifanya bila hata kushtuka.
sasa je, huo unakuwa ni wivu au ni ubabe? na mkae mkijua kwamba wanawake wanaumia tena pengine zaidi ya nyinyi kwa kosa hilohilo.
nani kaguswa..!
ila sasa ngoma inakuja kuwa tamu ukigeuza upande wa pili, yaani mwanaume kusalitiwa au mwanamke kusaliti! hapo utadhani hilo kosa ni la jinai, wakati yeye analifanya bila hata kushtuka.
sasa je, huo unakuwa ni wivu au ni ubabe? na mkae mkijua kwamba wanawake wanaumia tena pengine zaidi ya nyinyi kwa kosa hilohilo.
nani kaguswa..!