Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
- Thread starter
- #161
hii ni kweli au unampaka mafuta kwa kigunzi?Nimeupenda mpangilio wa meno yake.
Ukiimanisha poda au manjino yake ya njano?
Manjino au meno?
hii ni kweli au unampaka mafuta kwa kigunzi?Nimeupenda mpangilio wa meno yake.
Ukiimanisha poda au manjino yake ya njano?
from the bottom of my hearthii ni kweli au unampaka mafuta kwa kigunzi?
She is not even close to the beauty of my wife, hivi ushamwone wife... Huyu afikii hata chembe..
Wengine wanapiga hadi plastic surgery za ngozi mwili mzima lakin wapi.
from the bottom of my heart
Wacha nicheke mie
Sifaham hata wanafanyaje, naogopa kuchubuka
Usipende kusimuliwa....NENDA KAJARIBU MWENYEWE
Niwekee sampoUmalila
weka sampoSingida kama unaelekea manyara
sampo tafadhaliKigoma
Picha ya mfano....
.....Mbulu, Babati ,Dongobeshi na Karatu
kama sijakosea huyo dada ni Chopra Priyanka miss India miaka ya nyuma kidogo am i right?!
ungetuonyesha na chini pia
Niwekee sampo
weka sampo
sampo tafadhali
Picha ya mfano