Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,372
- 12,479
- Thread starter
- #201
Mbona umepost picha yake alafu wauliza kama wapo...pia yupo rejea ulipoitoa picha yake hiyo.
Mimi si mphotoaji
Mbona umepost picha yake alafu wauliza kama wapo...pia yupo rejea ulipoitoa picha yake hiyo.
Wapo huku madibira
Sasa anko nikijilipua!! Dooh,sintokuepo tenar
Utaenda akhera na kuwakuta wa hivyo wa kutosha...
teh teh teh mkeo hana wivu?
Nisaidie nawapataje??
Hawa je?
ukishajua utaishia kunawa tu
huyu mlimbwende wa Kaboom
Uwiiii....najua mmoja ataekufaa....umenikumbusha dully sykes....nimebadili radha now..vimodo siwataki..nataka manyambizi
Kirungure mbagala wapo wengi tu