Hivi vyakula naweza kuvipata Uingereza?

Hivi vyakula naweza kuvipata Uingereza?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,072
Reaction score
16,624
Wakuu,siku chache zijazo ntaelekea katika mji wa Norwich huko uingereza.
Sasa wakuu kwa kweli me vyakula vya wazungu kama burger,sandwich et al siviwezi na huwa sishibi kabisa.kwa hiyo nilikua naomba kujua kwa uingereza naweza kupata wapi vyakula kama ugali,wali au pilau,viazi vitamu,magimbi,mihogo,ndizi,makande na vyakula vingine vyenye asili ya Tanzania,au pia kama kuna restrictions zozote kama mama angu atakua ananitumia vitu kama unga wa mahindi kutoka Tanzania ili niwe najipikia mwenyewe?
Asanteni.
 
Sina hakika wapi waweza vipata kwa huo Uingereza na sijui kama wanaruhusu kuingiza hizo bidhaa kutoka Tanzania. Ingekuwa marekani ningekwambia nenda kwenye supermarkets za wa Mexican unapata kuanzia unga wa ugali, viungo vya pilau, ndizi mbichi za kupika kwa mbivu hadi dagaa.

Labda ugugo shops au supermarket za huko zenye african food waweza pata. All the best.
 
Sina hakika wapi waweza vipata kwa huo Uingereza na sijui kama wanaruhusu kuingiza hizo bidhaa kutoka Tanzania. Ingekuwa marekani ningekwambia nenda kwenye supermarkets za wa Mexican unapata kuanzia unga wa ugali, viungo vya pilau, ndizi mbichi za kupika kwa mbivu hadi dagaa.

Labda ugugo shops au supermarket za huko zenye african food waweza pata. All the best.
asante sana mkuu.
 
Vipo vingi tu. Ukifika uliza maduka YA african foods. Au Ukifika basi London maeneo YA Pekham kila utakacho utapata. Shopping YA mwezi
 
Vipo vingi tu. Ukifika uliza maduka YA african foods. Au Ukifika basi London maeneo YA Pekham kila utakacho utapata. Shopping YA mwezi
asante sana mkuu.
 
Daaah mi nataka nianze mchakato wa Visa ndugu!
 
Popote unapoenda tafuta maduka ya wahindi, huwezi amini lakini wahindi ni watafutaji sana ukimuuliza hata ntalali atakuambia njoo kesho
 
Mbona vyakula hivyo vipo miji mingi uingereza.wazungu wana vyakula vingi zaidi ya burgers,hizo burgers mara nyingi ni vyakula vya haraka ukiwa njiani.pilau,wali mchele upo mwinhi sana na mzuri ujue kupika tuna kama ungekuwa maeneo ya waswahili watu wanapika majumbani(hasa wazanzibar) vyakula vyote unavyotaka we .naenda kuchukua tu.
Miogo,viazi nk vinapatikana maduka ya wahindi au west africans na carribeans.London vitu gyote vya africa unavipata lakini Norwich upo karibu na birmingham pia wanavyo hivyo unavotaka.Mama anaweza kutuma vitu akitaka wapo watu(wabongo)wanatuma toka bongo vitu bei rahisi na we unaenda kuchukua tu.uk mail services wana restrictions nyingi inabidi uzijue.
Cha maana kufikilia sio vyakula hapa kuna kila kitu,fikilia hali ya hewa baridi inaanza kubadilika!,make sure una makoti,viatu ,kofia na nguo za baridi za kutosha has mitaa ya norwich kwa leo baridi ni 8c, na itaendelea kushuka kuelekea minus.hilo ndio la kufikilia.
Karibu sana uingereza kaka.
 
Karibu uingereza mkuu mm npoo mitaa ya London hp krb kbs na club ya Chelsea ilipo .kande lipo .ugali unga wa muhogo .mbona ndio vyakula vya ngolo kante ww umwone alivyo na nguvu za kutoshaa .krb sanaaa mkuu uingereza
 
Wakuu,siku chache zijazo ntaelekea katika mji wa Norwich huko uingereza.
Sasa wakuu kwa kweli me vyakula vya wazungu kama burger,sandwich et al siviwezi na huwa sishibi kabisa.kwa hiyo nilikua naomba kujua kwa uingereza naweza kupata wapi vyakula kama ugali,wali au pilau,viazi vitamu,magimbi,mihogo,ndizi,makande na vyakula vingine vyenye asili ya Tanzania,au pia kama kuna restrictions zozote kama mama angu atakua ananitumia vitu kama unga wa mahindi kutoka Tanzania ili niwe najipikia mwenyewe?
Asanteni.
utazoea tu kijana ..... kula mmo ni dhambi
 
DAHH!!!!!!!THREAD KAMA HIZI HUWA ZINANIPA SANA SIMANZI AISE,SIJUI NI LINI NA MIMI NITAPIGA DILI MOJA LA ALBERTO MANGWEA LA KULALA MASIKINI NA KUAMKA TAJIRI ILI NA MIMI NIYACHANE MAWINGU.

LAST YEAR ILIKUWA KARIBIA NIAMSHE KIWANJA NILIENDA BARUTI KUTAFUTA PASSPORT MPAKA NIKAIPATA ILA MUNGU NDO ANAPANGA AISE.
 
Kazi ya kubeba Box si mchezo anza dozi ya ugali huku ili uwe na nguvu mabox kipindi cha baridi ni shughuli kuyabeba
 
Wakuu,siku chache zijazo ntaelekea katika mji wa Norwich huko uingereza.
Sasa wakuu kwa kweli me vyakula vya wazungu kama burger,sandwich et al siviwezi na huwa sishibi kabisa.kwa hiyo nilikua naomba kujua kwa uingereza naweza kupata wapi vyakula kama ugali,wali au pilau,viazi vitamu,magimbi,mihogo,ndizi,makande na vyakula vingine vyenye asili ya Tanzania,au pia kama kuna restrictions zozote kama mama angu atakua ananitumia vitu kama unga wa mahindi kutoka Tanzania ili niwe najipikia mwenyewe?
Asanteni.
Norwich sina uhakika...Ila London,Leicester,Birmingham vipo kibao....kuna maduka makubwa ya waafrika kuna vitu vingi sana! Kwahio unaweza kwenda London weekend, Upton Park ukafanya shopping yako hadi dagaa unapata!
 
DAHH!!!!!!!THREAD KAMA HIZI HUWA ZINANIPA SANA SIMANZI AISE,SIJUI NI LINI NA MIMI NITAPIGA DILI MOJA LA ALBERTO MANGWEA LA KULALA MASIKINI NA KUAMKA TAJIRI ILI NA MIMI NIYACHANE MAWINGU.

LAST YEAR ILIKUWA KARIBIA NIAMSHE KIWANJA NILIENDA BARUTI KUTAFUTA PASSPORT MPAKA NIKAIPATA ILA MUNGU NDO ANAPANGA AISE.
Huitaji kuwa tajiri kufika Ulaya/Amerika etc. Jipange tu utafika.
 
Ume
Karibu uingereza mkuu mm npoo mitaa ya London hp krb kbs na club ya Chelsea ilipo .kande lipo .ugali unga wa muhogo .mbona ndio vyakula vya ngolo kante ww umwone alivyo na nguvu za kutoshaa .krb sanaaa mkuu uingereza
Umeniudhi tu kumtaja Ngole Kante,majuzi katutesa sana watu wa Kaskazini
 
maisha hayana usawa.mimi natafuta nauli ya kunifikisha dar wenzetu mnawaza mambo ya kwa malkia?
 
Back
Top Bottom