notyfeky
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 673
- 663
Hivi hii imejaaje wakuu? Kila redio stesheni ukifungulia ni michezo ya kubahatisha, mara cheza pesa, sijui mshiko chap n.k Sasa kuna tofauti gani na betting?
Halafu vijana wakibeti mnasema wanapoteza muda, hii cheza buku ushinde laki si ndo kamari kabisa?
Tena bora niweke treni langu mkeka nashuhudia ukichanika laivu laivu kwa wajinga kama PSG, Chelsea na Mamelodi Sundowns kuliko unishawishi nitume pesa yangu eti ntashinda Laki wakati hata vigezo vya kushinda ni unknown, mnachezeshaje huko hatujui, labda kama pesa yangu haina kazi.
Nikiwa na buku naweka mikeka yangu kumi ya miamia, hata ikichana yote fresh tuu, pesa yangu imeenda kihalali kabisa, yaani sina mashaka na hilo.
Ngoja nicheke hapa: Kuna vizee vinapondea betting halafu vinacheza hii michezo ya kubahatisha redioni, huwa nawacheki nacheka kimoyomoyo.
Hivi wadau biashara ya redio nayo ni kama magazeti nowdays, eti eeeh? Maana hadi redio yetu ya nchi kuanzia Am mpaka kule fm ni kamari mwanzo mwisho.
Wanangu wa betpawa tupieni matreni hapahapa tusonge nayo.
Ni mwendo wa kamari mwanzo mwisho.
Halafu vijana wakibeti mnasema wanapoteza muda, hii cheza buku ushinde laki si ndo kamari kabisa?
Tena bora niweke treni langu mkeka nashuhudia ukichanika laivu laivu kwa wajinga kama PSG, Chelsea na Mamelodi Sundowns kuliko unishawishi nitume pesa yangu eti ntashinda Laki wakati hata vigezo vya kushinda ni unknown, mnachezeshaje huko hatujui, labda kama pesa yangu haina kazi.
Nikiwa na buku naweka mikeka yangu kumi ya miamia, hata ikichana yote fresh tuu, pesa yangu imeenda kihalali kabisa, yaani sina mashaka na hilo.
Ngoja nicheke hapa: Kuna vizee vinapondea betting halafu vinacheza hii michezo ya kubahatisha redioni, huwa nawacheki nacheka kimoyomoyo.
Hivi wadau biashara ya redio nayo ni kama magazeti nowdays, eti eeeh? Maana hadi redio yetu ya nchi kuanzia Am mpaka kule fm ni kamari mwanzo mwisho.
Wanangu wa betpawa tupieni matreni hapahapa tusonge nayo.
Ni mwendo wa kamari mwanzo mwisho.