johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Wakati Chadema inaongeza Jiji la DSM chini ya Lord Mayor DSM Isaya Mwita Mzee Sabodo alitoa msaada wa fedha za kuchimba Visima
Naulizia tu kama Visima vile ni miongoni mwa hivi 119 vilivyokaguliwa na Waziri mkuu jana
Kiukweli DSM tatizo la Maji ni kubwa tumuendee tena Sabodo kwa msaada zaidi
Jumaa kareem!
Naulizia tu kama Visima vile ni miongoni mwa hivi 119 vilivyokaguliwa na Waziri mkuu jana
Kiukweli DSM tatizo la Maji ni kubwa tumuendee tena Sabodo kwa msaada zaidi
Jumaa kareem!