Hivi vidonge kweli ni viagra?

123 pill,, Atripila efavirenz 600mg is used in treatment of hiv infection and belongs to the drug class antviral combination...kwa hisani ya google.
 
Huyu mleta mada kapotea..isije ikawa kaenda kunywa sumu
 
Ufanye packaging ya dawa alizotengeneza nan?? Ww mwenyew au unapack product ya manufacture mwingne?? lkn ni wazo zuri
 
Mm ndo kwanza na viona na nyie mnaovijua kirahisi hvy nina mashaka na nyie mtakuwa wadau tayari
 
Acha kupanic njoo kwangu mimi huwa situmii hayo makitu![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mm ndo kwanza na viona na nyie mnaovijua kirahisi hvy nina mashaka na nyie mtakuwa wadau tayari
Mkuu umesahau kuna madokta humu? tena ukute ndio wako kwenye hivo vitengo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…