Hivi vibwengo kweli vipo?

Hivi vibwengo kweli vipo?

MziziMkavu je kuhusu kiongozi wao kuwa na kitambaa chekundu ambacho ukikipata unatajirika umewahisikia,iringa kilitafutwa sana na wazee wetu makaburi ya askofu ngalalekumutwa
 
Maeneo ya shule yana matumizi mengi, mchana tunafanya masomo usiku wanga wanafunzi wanakuja kupiga practicals.
 
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.

Hahahahaha jamaa muongo we duuuu
 
Nimegoma kumwimbia kibwengo, hii ilitokea takribani miaka miwili iliyopita nikiwa ufukweni mwa bahari ya hindi maeneo ya ununio, nilikuwa naishi huko, hivyo nilikuwa na kila uhuru wa kukaa baharini hadi saa mbili usiku, na hasa wakati wa mbalamwezi na maeneo yale yenye baa za ufukweni.
Siku moja nikiwa pembeni peke yangu japo sikuwa mbali na baa niliona mtu mfupi, akitokea gizani, mwenye kichwa kikubwa na amevaa kanzu nyeusinyeusi, nilistuka na kabla sijakimbia akawa amefika usawa wangu na ghafula alinipita na akapotea.
Tangu siku hiyo huyo kibwengo ameniletea mikosi kwenye shughuli za kiuchumi, kwenye mahusiano na mengineyo. Nilipoona nilipeleke hili kwa wataalamu , mtaalamu mmoja alinifundisha mwimbo wa kuimba ili kumfukuza huyo kibwengo! Nimegoma kumuimbia kibwengo huyo! Wacha nifuatilie maombi tu!
Je vibwengo ni majini kamili ama ni wakojewakoje, wadau,
 
Basi huyo Kibwengo hana tofauti na Sizonje anaependa na kutaka kila siku aimbiwe mapambio na kuwekwa front pages kwa wino mwingi.
 
Vibwengo vipo vinyamkera pia vipo mashetani yapo majini na maruhani pia yapo ila ni vitu visivyoonekana moja kwa moja kama wana JF ambao tunasomana post zetu na kufanya imagination tuu kuwa pen fine huyu katika uhalisia wake anafanana hivi au vile
mizimu pia inaingia kwenye kundi hilo na sura zao haziko kamili nyingine ziko nusu nyingine robo nyingine kama moshi nyingine kama zinatiririka na nyingine kama zinapenyeka! Lakini vile vile kuna zile ambazo ukiziona zinakuja na kupotea na huwezi kuziona na kuzitambua kama ni mnyama mdudu binadamu kizuka nk
Hivi ni viumbe vinavyoishi kwenye ulimwengu usiionekana na mara nyingine ulimwengu wa kufikirika kuna nguvu ambazo ukiweza kuwa Nazi ndo unaweza kuviona na hata kuvilimiki
Kwahiyo mkuu unataka kumaanisha kwamba inawezekana hum JF vile watu hatuonani hatujuani kunaweza pakawa na viumbe kama hawa? maana huku JF hatuonani. ikumbukwe majini na mashetani wanao uwezo wakuandika.
 
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
daaahh nimecheka balaa watu MNA vituko sana
 
Hahahahah Jf Raha sana
Kibwengo kina kitu kama king'ora cha polisi au ambulance pale juu ya utosi...
Kasheshe huwa inakuja pale akikuuliza swali umeanza kuniona wapi wakati nakuja?
Kwa kuwa kinajijua ni kijeba "mfupi kwa kimo", basi huuliza hilo swali kama mtego...
Salama yako ni pale tu utakapojibu kuwa nimekuonea kuleee, hapo autaachiwa na kitapotea ghafla.
Lakini ukijichanganya tu ukajibu kuwa nimekuonea hap, utakula bonge la kerebu halafu hata hutajua limetokea wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Hahahah, ayseee

Jf Safi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusikia wanafunzi huko masekondari zamani walikuwa wanaonaga wanyama flani kama binaadamu kama mashetani sasa naomba mwnye kuwafahamu au mwenye picha ya hao vibwengu aitupie eti hata wengine walipo lala walikabwa usingizi na hao vibwengu je hii ni myth au ni jambo la kweli
Hivi viumbe vilikuwepo lakini kadiri muda unavyozidi kusonga vinapotea

Jr
 
Sometime hivi vidude vinaweza kukuibukia usingizini ukashangaa umepigwa kabali mtu humuoni unabakia kuugulia tu,mara ingine unaota watu wa ajabu ajabu wanakutoa baruti na mapanga na visu halafu unakimbia huendi.mpaka ukatwe panga ndo unashtukia unaamka.bongo tunalogana sana aisee au sijui sababu ya kulakula ugali ndo unapata ndoto mbaya mbaya🙄
Ukishtuka lazima mavi ya gonge chupi

wali nazi maharage nazi
 
Hata milambo sec wanasema vipo vingi pale ila tabora boys na umoja sec shwari tu
Nakukumbusha UMOJA sekondari vilikuwa vinaiitwa NJUMANJU,nakumbuka wanafunzi walikuwa wakisimulia kuhusu kuona manjumanju, lakini mimi sikuwahi kuona pamoja na kujitahidi kuamka usiku na kutoka nje.Nadhani zilikuwa stori za kutishana tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom