Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 659
Mimi najua wasichana waliokua na sura mbaya shuleni ndio tuliwaita vibwengo.
na hasa wasichana wanao soma sayansi wana kuaga wabayaaa...
Mimi najua wasichana waliokua na sura mbaya shuleni ndio tuliwaita vibwengo.
na hasa wasichana wanao soma sayansi wana kuaga wabayaaa...
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Kigonsera sec school walikuwepo...
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Kwa nn hawa viumbe wanasumbua hasa mashuleni tena zile za boardng
Niliwahi kusikia wanafunzi huko masekondari zamani walikuwa wanaonaga wanyama flani kama binaadamu kama mashetani sasa naomba mwnye kuwafahamu au mwenye picha ya hao vibwengu aitupie eti hata wengine walipo lala walikabwa usingizi na hao vibwengu je hii ni myth au ni jambo la kweli
Vibwengo ni aina Ya Majini wanaopenda kutembea usiku na Vijinga vya motoTangu nipo mdogo nilikua naskia watu wanasema habari za vibwengo kua wana tabia ya kuwatokea wanadamu na kuwaletea mauza uza hasa baharini,sasa najiuliza huyo kiumbe ana umbo gani la mnyama au binadamu? au vibwengo ndio majini?
MziziMkavu et.al karibuni hapa mtoe darasa.
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Waliosoma Jitegemee(Jiteute) enzi za Massawe watakumbuka jinsi vibwengo vilivyokuwa vinasumbua baadhi ya watu.
Kuna jamaa mmoja alikuwa hawezi lala mwenyewe lazima aombe mtu alale nae coz alikuwa anasumbuliwa sna na hv vibwana.
Kwenda chooni mwenyewe usiku mbinde lazima uombe kusindizwa.
Tisa kumi kuna njemba moja ilikuwa baunsa imepanda hewani halafu ni mbavu nene kishenzi.Alikuwa akisema/kukutuma kitu lazima uache mambo yko utekeleze anachokuagiza.Siku moja aliamka kama saa tisa usiku kwenda class kupiga msuli.Akapitia kwanza bombani anawe uso kuondoa wenge la usingizi.Alipoanza kuinama ili afungue maji alipigwa bonge la kelbu ya mgongoni,akasimama wima ila hakuona kitu;wkt anatafakari alistukia bonge la kelbu kisogoni;hapo ndo mbio kama za Usain bolt zilipoanza tukastukia mlango wa bweni upo chini huku njemba ikipiga mayowe kama kafukuzwa na simba.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
fiksiman alishaandika kuhusiana na vibwengo vya JF:nimecheka sana huku nikitengeneza stori picha hii kitu.
Jamani sina nia ya kumtusi mtu ila tuache tabia ya kuweka picha zinazofanana na zeutamu....nimekuwa nikitalii kwenye thread mbalimbali lakini kikubwa si kupata maoni bali kuona namna wanaJF wanavyoshindana kuweka vibwengo kwenye profile picha zao. Kuna zingine zinamwelekeo wa kuwavunjia watu tena wazito heshima zao...kwa mfano nimekutana na picha ya komrade mugabe, bush, obama na wengine wakiwa katika mazingira tata.
Cha kushangaza hata hao wanaojiita masenior na premiure wa JF nao ndo kabisa aibu tupu...kwa mfano kuna mdau mmoja kaweka picha nyani ana gitaa, njiwa anasoma kitabu yaani nisiseme mengi. Ila kiukweli inatoa burudani kusoma post huku kibwengo kikitia mbwembwe...siku nilijisahau na kuanza kufuta scree ya laptop yangu nikidhani kimdudu kinatembea kumbe picha ya mdau wa JF.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Hahaha nmecheka sana hyo sentensi..
Kimsingi waTZ huwa hatuaminig mambo mpaka yatutokee,m nmewahi kusumbuliwa na vibwengo nilipokuwa nasoma HAPPY SKILFUL INTERNATIONAL SCHOOL,iliyopo tabata segerea..
Nilisumbuliwa sana kias kwamba usiku ukiingia tu napata hofu,had pale nilipo omba ruhusa shuleni na kurud nyumbn nikapelekwa kwa mganga tatzo likaisha kabsa..