Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 659
Kuna jamaa yangu alikuaga mtu wa club sana,aliwahi kunipa stori kuna siku mida ya tisa tisa night kali anatoka zake kuruka debe ile anakatiza mitaa fulani akakutana na katoto kama ka miaka minne hivi dogo aka muomba fegi jamaa hilo nduki lake si mchezo na pombe yote iliish.mpaka leo akienda club kurudi hadi kupambazuke kabisa.