Hahaaah dah, loong tyme asee, hivi ni vishetani cjui vidude gani, nakumbuka niliwahi kuviona viumbe vya ajabu kipindi nipo darasa la tatu hukoo kijijini kwetu, tulikuwa wawili, iliikuwa ni asubui tunawahi namba shuleni na kutoka home hadi shule ilikuwa unapita kilometa moja ktk kipori flani hivi hakuna nyumba zaidi ya majani yaliyojaa umande, pia sec tuliviona viingi tuu, hata wanafunzi wakawa wanafanyiana mchezo wa kipuuzi kisha kusingizia vibwengo, kuna siku jamaa wakati tupo kidato cha pili walikuwa na ugomvi na mshikaji wangu( marehem kwa sasa) wakataka kuja kumpaka rosheni mk**** ili kesho yake wamzushie katembelewa na kimbwengo ila kwa bahati mbaya wakati wanamvizia usiku huo tulikuwa macho tukawakimbiza na kwa kuwa ilikuwa usiku na bweni floor yake ilikuwa ya mbao wakati wanakimbia tukajua ni mtu gani alitaka kumfanyia jamaa kale ka mchezo hivyo tukaweka nadhili lazma kesho yake iwe stori, ilipofika saa nane usiku, tukachukua pilipili mbuzi zilizosagwa na kuchanganywa na maji, na tomato tukazichanganya, tukamwendea, tukamtaiti, akavuliwa nguo, akawekewa yeye ktk mk**** watu wakaminya nusu ya kopo la chili kisha kimya kimya watu wakarudi ktk vitanda vyao, haikupita hata dakika tano jamaa akatoa ukelele wa uchungu kiluo gani, mbio hadi assemble huku yupo uchi, nyuma ana tomato ambayo kwa usiku ilikuwa ikionekana kama damu, basi watu wakaanza ingiwa na woga kuzani jamaa kafanyiziwa hadi kuchanwa mk*** na vibwengo, basi jamaa habari ikazagaa kwamba kaliwa ndogo hadi imetatuliwa na vibwengo, jamaa kwa aibu sijui aliacha shule? Maana siku ya pili mida ya kula hakuonekana tena pale shuleni na sababu ni kuonekana tupu yake ya nyuma na kila mtu hadi wasichana...stori ya kibwengoo hahaaah ctosahau