Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,833
mtu havai nguo akiwa amelala.taifa limelala haliwez kuwa na vaz tusubiri litakapoamkaa
Teh teh teh!, ngoja wenyewe wakupe feedback, lol, Bongo kuna mengi, things are always not taken seriously
Bora uwakumbushe mkuu, wanaishia kututia aibu kwenye olimpiki kwa kuvaa suti wakati si vazi letu....
Nakumbuka Emannuel Nchimbi alishikia sana kidedea hii ishu,na ikafikia mahali kamati maalum ikaundwa na kuanza kuzunguka mikoani wakisema wanakusanya maoni ya wadau. Najiuliza ilikuwa ni siasa?au kuna fedha ilikuwa haina kazi na hivyo ikatafutiwa kazi au wameona ni upuuzi mtupu au Waziri kaondoka na ndoto zake?
Utafutaji wa vazi la taifa umefikia wapi kwa wenye taarisa watusaidie
Hii nchi ya ajabu sana, haina kipaumbele kila kitu kinafanyika bila mpangilio na matokeo yake hatufiki.
Mfano mwaka huu kuna
- Mfano mwaka huu kuna sensa ya watu na makazi
- Vitambulisho vya uraia
- Vazi la taifa
- Kilimo kwanza