immasakha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 489
- 281
Ukweli leo nimekaa na kufikiria na kujiuliza hivi kwanini wanawake wanavaa chupi na je chupi ina kazi gani kwa mwanamkejibu likanishinda.
Pia nikajiuliza kwa upande wa wanaume hivi kwanini wanaume wanavaa boxer lkn sikua na shaka na jibu nililolipata juu ya mwanaume ni kwamba anazuwia mashine kunyanyuka kila mda au anapokuwepo mbele za watu mashine pindi ikipata mshtuko na kusimama isiwe rahisi kuonekana.
Povu ruksa!
Pia nikajiuliza kwa upande wa wanaume hivi kwanini wanaume wanavaa boxer lkn sikua na shaka na jibu nililolipata juu ya mwanaume ni kwamba anazuwia mashine kunyanyuka kila mda au anapokuwepo mbele za watu mashine pindi ikipata mshtuko na kusimama isiwe rahisi kuonekana.
Povu ruksa!