Hivi ushabiki wa Blackberry phone uliishia wapi?

Third party nini wewe. Unaficha nini akati kila kitu kinaonekana africa hamna usiri. Watu wakitaka kukupekua hata leo hii wanaweza hata utumie sijui black berry gani. Chagua simu kwa ajili ya matumizi sio kwa ajili ya kuficha siri. Ni sawa na lijitu linabishana eti iphon ni nzuri then ukiimuliza uzuri wake anakuambia hata ikiibiwa mtu hawezi kufungua na n.k wakati iphon zinaibiwa mara kadhaa
Mkuu, mbona unatia aibu? Unadhani wewe kutokuwa na privacy basi hata wengine hawana?
 
Unapolala usiku ukaacha milango wazi mwizi ataingia na kusomba kila kitu kiurahisi lkn unapofunga milango,geti,dirisha haimaanishi hatoweza kuingia ila atapata ugumu,atapoteza muda na ataweza kukata tamaa..hvy hvy kwa Black berry utatumia nguvu nyingi na mwisho wa siku usiweze kufukunyua tofauti na Androids

Kama hujui umuhimu wa privacy ase utakuwa na matatizo

Na hata hiyo iPhone umuhimu wake siyo hiyo uliyoitaja

OS yake ipo secured vigumu kudukuliwa


Ttz wabongo tunapenda vitu vya bei che au virahisi rahisi kutumia vitu complicate hatuzipendi
Sasa una siri gani za kuduliwa ww zaidi ya txt za tgo wanadai deni lao ulilokopa?
 
Black berry simu bora ni wajanja pekee ambao wanatumia Blackberry

Donald Trump alivyopata urais alinyanganywa simu zke na akapewa Black berry

Blackberry mawasiliano yake yapo encrypted third party hawezi kuingilia.

Kama unajali privacy yko basi Blackberry ni bora ila kiushabiki nenda Androids "" loopholes,back door nk""

Smart people use Blackberry
Yop!!
From my BlackBerry passport
 
Mm kwanza mtu wa cfa nataka nkshka kla mtu ajua nmeshka cm ss BlackBerry cjui Iphone 5 hapana kuanzia IPhone 6 7 ndio ntatia mkonon yaan mtu akiona tu ajue ile cm gan
 
Natafuta Balckberry Classic mpya, mwenye nayo au anayejua ninakoweza kuipata anijuze.

Natumia Nokia tochi kwa sasa baada ya Samsung yangu kufa, najua nitakosa apps kadhaa (ikiwemo whatsapp mwezi Juni) ila naona hasara pesa yangu kununua simu ya android tena.
Nikihitaji Whatsapp nitanunua simu ya 120,000/= kwa ajili ya Whatsapp tu.




Natafuta Blackberry Classic. Kama unajua wapi naweza kupata naomba unijuze
blackberry classic q20 Dar es Salaam 979714 | Kupatana
 
Back
Top Bottom