fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Mkuu, mbona unatia aibu? Unadhani wewe kutokuwa na privacy basi hata wengine hawana?Third party nini wewe. Unaficha nini akati kila kitu kinaonekana africa hamna usiri. Watu wakitaka kukupekua hata leo hii wanaweza hata utumie sijui black berry gani. Chagua simu kwa ajili ya matumizi sio kwa ajili ya kuficha siri. Ni sawa na lijitu linabishana eti iphon ni nzuri then ukiimuliza uzuri wake anakuambia hata ikiibiwa mtu hawezi kufungua na n.k wakati iphon zinaibiwa mara kadhaa