THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,742
- 3,301
Habari wanajukwaa kabla sijaja na Uzi wa kutoa kero zangu na kuuelimisha Umma wa wapenda soka Nchini naomba nipate mawazo tu kwa unavyotambua wewe hapo ni kweli mashabiki wa mpira wanafanana kote Duniani, yaani I mean ushabiki wanaokua nao?
Na sifa zingine naomba reference ichukuliwe Tanzania. Ule Ujingaujinga wa kutoelewa hata mambo madogo wanafanana?
Hasahasa Mashabiki wa Tanzania wanafanana na mashabiki wa huko America kusini na Ulaya sehemu ambazo mpira unachezwa sana.
TOA MAWAZO YAKO KWA LUGHA YOYOTE ILA USITUKANE
Na sifa zingine naomba reference ichukuliwe Tanzania. Ule Ujingaujinga wa kutoelewa hata mambo madogo wanafanana?
Hasahasa Mashabiki wa Tanzania wanafanana na mashabiki wa huko America kusini na Ulaya sehemu ambazo mpira unachezwa sana.
TOA MAWAZO YAKO KWA LUGHA YOYOTE ILA USITUKANE