jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Hapa kweli kinazungumziwa kinywa hiki hiki au unatuchimba we binti...
unajua kuna viu vya aina nyingi aisee.... lol
unajua kuna viu vya aina nyingi aisee.... lol
Mimi kiburudisho changu pekee ni 'madhiwa' ya mai waifi wangu...
miss chagga niambie amekufanya nini Mr Rocky? Usinifiche kitu mwanangu
tundovu twabaridiiiiiiiii, au ballantine
.....Govinda Kumar ndo mtindo wangu.
Wasalaaaam aleykumHakuna kitu bana we hujaona tunapiga story na miss chagga hapo mkuu utafiti
Castle lager 2 za moto.Baada ya kazi kila mtu anatamani kupata wasaa wa kujipumzisha nakutuliza akili, lakini hiyo huambatana na kiu kali ya kinywaji mtu akipendacho, hapa sizungumzii maji, bali nazungumzia vinywaji vyenye kuburudisha na kuchangamsha akili.
Hebu leo tuambizane hapa ni kinywaji gani unaposhikwa na kiu cha namna hiyo hukujia akili?
Nitaorodhesha vinywaji vichache, lakini nitaanza na mimi mwenyewe kwa kueleza kinywaji nikipendacho:
Miye napenda sana juisi ya Tende au ya Ukwaju
Kuna wale wa Beer
Kuna wale wa Mitulinga
Kuna wale wa soda soda
Kuna wale wa koktail
Kuna wale wa Mbege nk.
Je wenzangu, nyie mnajituliza na kinywaji gani nyakati za jioni?
CC:
[SIZE=2 [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=9760"]Asprin[/URL], Kaizer, Ruttashobolwa, Arushaone, Erickb52, Filipo, LiverpoolFC, marejesho, Preta, KOKUTONA, Madame B, cacico, snowhite, jouneGwalu, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Bujibuji, lara 1, Heaven on Earth, Munkari, MankaM, miss chagga, miss neddy, utafiti, Mndengereko, ayanda, Tyta, farkhina, Asprin[/SIZE]