Hivi unaposhikwa na kiu baada ya kazi ni kinywaji gani kinakujia akilini mwako

Zinduna

JF-Expert Member
Nov 6, 2011
2,378
3,379
Baada ya kazi kila mtu anatamani kupata wasaa wa kujipumzisha nakutuliza akili, lakini hiyo huambatana na kiu kali ya kinywaji mtu akipendacho, hapa sizungumzii maji, bali nazungumzia vinywaji vyenye kuburudisha na kuchangamsha akili.

Hebu leo tuambizane hapa ni kinywaji gani unaposhikwa na kiu cha namna hiyo hukujia akili?

Nitaorodhesha vinywaji vichache, lakini nitaanza na mimi mwenyewe kwa kueleza kinywaji nikipendacho:

UKWAJU.jpg


datesdeglett.jpg


Miye napenda sana juisi ya Tende au ya Ukwaju

11%20_JTA0216_DxO2%20four%20beer%20types%20WEB2.jpg


Kuna wale wa Beer

2010s%20Most%20Popular%20Alcoholic%20Drinks.jpg


Kuna wale wa Mitulinga

soda.jpg


Kuna wale wa soda soda

Drinks-4.jpg


Kuna wale wa koktail

261809_2151170017331_1188807127_2633572_4673158_n.jpg


Kuna wale wa Mbege nk.

Je wenzangu, nyie mnajituliza na kinywaji gani nyakati za jioni?

CC:

[SIZE=2 [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=9760"]Asprin[/URL], Kaizer, Ruttashobolwa, Arushaone, Erickb52, Filipo, LiverpoolFC, marejesho, Preta, KOKUTONA, Madame B, cacico, snowhite, jouneGwalu, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Bujibuji, lara 1, Heaven on Earth, Munkari, MankaM, miss chagga, miss neddy, utafiti, Mndengereko, ayanda, Tyta, farkhina, Asprin
[/SIZE]
 
Kwakweli mimi ntakunywa kinywaji chetu sisi watu wa chadema nafikiri umekiona hapo chini kabisa..
 
mkuu kama uko namimi..karibuni wakuu..hii ndio cruise party.....
 

Attachments

  • my picture 224.jpg
    my picture 224.jpg
    531.3 KB · Views: 388
  • my picture 222.jpg
    my picture 222.jpg
    429.6 KB · Views: 302
jamani mimi napenda glass of wine especially pernasol hapo nikipata ewala loh siku yangu yaisha vyema kabisa
 
Zinduna napenda sana juice ya kutengeneza home mwenyewe ila siku moja moja nje huko ni no.2
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom