Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Baada ya kazi kila mtu anatamani kupata wasaa wa kujipumzisha nakutuliza akili, lakini hiyo huambatana na kiu kali ya kinywaji mtu akipendacho, hapa sizungumzii maji, bali nazungumzia vinywaji vyenye kuburudisha na kuchangamsha akili.
Hebu leo tuambizane hapa ni kinywaji gani unaposhikwa na kiu cha namna hiyo hukujia akili?
Nitaorodhesha vinywaji vichache, lakini nitaanza na mimi mwenyewe kwa kueleza kinywaji nikipendacho:
Miye napenda sana juisi ya Tende au ya Ukwaju
Kuna wale wa Beer
Kuna wale wa Mitulinga
Kuna wale wa soda soda
Kuna wale wa koktail
Kuna wale wa Mbege nk.
Je wenzangu, nyie mnajituliza na kinywaji gani nyakati za jioni?
CC:
[SIZE=2 [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=9760"]Asprin[/URL], Kaizer, Ruttashobolwa, Arushaone, Erickb52, Filipo, LiverpoolFC, marejesho, Preta, KOKUTONA, Madame B, cacico, snowhite, jouneGwalu, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Bujibuji, lara 1, Heaven on Earth, Munkari, MankaM, miss chagga, miss neddy, utafiti, Mndengereko, ayanda, Tyta, farkhina, Asprin[/SIZE]
Hebu leo tuambizane hapa ni kinywaji gani unaposhikwa na kiu cha namna hiyo hukujia akili?
Nitaorodhesha vinywaji vichache, lakini nitaanza na mimi mwenyewe kwa kueleza kinywaji nikipendacho:
Miye napenda sana juisi ya Tende au ya Ukwaju
Kuna wale wa Beer
Kuna wale wa Mitulinga
Kuna wale wa soda soda
Kuna wale wa koktail
Kuna wale wa Mbege nk.
Je wenzangu, nyie mnajituliza na kinywaji gani nyakati za jioni?
CC:
[SIZE=2 [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=9760"]Asprin[/URL], Kaizer, Ruttashobolwa, Arushaone, Erickb52, Filipo, LiverpoolFC, marejesho, Preta, KOKUTONA, Madame B, cacico, snowhite, jouneGwalu, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Bujibuji, lara 1, Heaven on Earth, Munkari, MankaM, miss chagga, miss neddy, utafiti, Mndengereko, ayanda, Tyta, farkhina, Asprin[/SIZE]