Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 246
- 457
Umewahi shiriki kwenye Huo mnyororo kama jibu ni No.. una uhakika gani hao wanaoingia disc mageto wanakazwa??Wadau nauliza kama UKIMWI upo maana uzinzi na uasherati baina ya wahusika umekuwa kama mnyororo fulani na hakuna anayejali. Basi ukigusa huo mnyororo ,imeisha hiyo.
Ni dhahiri kwamba mlolongo wa ngono zembe ktk jamii upo baina ya makampuni, vyuo, shule, vijiji, bar, maofisi, mahoteli, mageto, familia n.k.
Mfano mzuri ni dada zetu wa chuo ambao kila akienda discussion kwenye geto la mdau hatoki salama,na hizo discussion mpaka amalize chuo amekuwa amezifanyia kwenye mageto ya wadau wengi tabia yake lazima arudi nayo kijijini kwao au hata akienda kazini ataiendeleza. Watu wa tabia hii Ni wengi ktk jamii mithili ya mnyororo fulani.
Je, ni kwamba UKIMWI haupo au tumejisahau tu?
#Binafsi sidhani kama Mkapa alitania aliposema kwamba UKIMWi utatumaliza.
Una ushahidi??Ni vyuo vyote vipo hivyo mkuu.
Maadili yamepungua sana kwenye kizazi cha sasa na usiwalaumu kina Dada pekeyao kwa kuwa wapo pia wanaowaharibu.
Malezi mabovu ya familia yanapelekea kupata jamii ya kizazi kibovu kisha Taifa linakuwa la kizazi cha namna hiyo.
Sikuhizi mtoto kurudi nyumbani na Digree ya vyupi ishakuwa ni jambo la kawaida.
🍉🍎🍒🍓Plus matundaUkimwi upo wa KUSHATO tena hasa, ila ukibugia mbaazi maisha yanaenda fresh tu.
Mm n mpenzi mtazamaji[emoji16][emoji16]Ushahidi ndio ninao kupitia story za wadau wenye mageto yaoUmewahi shiriki kwenye Huo mnyororo kama jibu ni No.. una uhakika gani hao wanaoingia disc mageto wanakazwa??
Ukishiriki na wewe kuwavuta geto basi utapata majibuMm n mpenzi mtazamaji[emoji16][emoji16]Ushahidi ndio ninao kupitia story za wadau wenye mageto yao