stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,219
- 2,552
Elezea unachomaanishaUjamaa ni watu walioelewa maana na kushangaa Jews au mpira mmoja ni kama EWURA, TRA, BOT, TARURA n.k by the way ndio ulioshinda Africa
Elezea unachomaanishaUjamaa ni watu walioelewa maana na kushangaa Jews au mpira mmoja ni kama EWURA, TRA, BOT, TARURA n.k by the way ndio ulioshinda Africa
Mifano ya ujamaa Ndiyo hufanya KAZI saizi ni kama EWURA, TRA, Halmashauri, TANROAD, TPDC na mifumo ya kijamii, Tanzania investment centre n.k na ndio ulioshinda AfricaWakuu nchi yetu ni ya kijamaa, hivi hii ideology bado ni relevant(kama imewahi kuwa)?
Je, tuliingia chaka kufuata siasa za ujamaa?
Msosi Pai mwisho wa mwezi/wiki wenyewe watasha sikuElezea unachomaanisha
Google hizo taasisi utaelewa Tu wapo wangapi wanakula Mishahara kinono Ila baada ya hapo ilibidi wasafiri wenyewe wameamua kujipa stressElezea unachomaanisha
Kaleta mada kinafiki kwa nia ya kuchonganisha wachangiaji.Ingependeza kidogo kama ungetueleza wewe unavyoufahamu 'ujamaa'.
Hapo nasi tungepata mwanzo mzuri wa kujadili mada yako hii.
Ulivyoileta mada ni kana kama unatafuta darasa hivi ili ufundishwe maana ya 'ujamaa'; huku tayari ukionyesha kuukandia.
Hata kama unaelewa maana ya 'ujamaa', na kwa uelewa huo ukakufanya usiupende, tueleze basi mfumo badala unaoona wewe ndio dawa sahihi kwa maendeleo yetu.
Huenda nikasomeka kama ninakukandamiza vile. Hapana, hiyo sio nia yangu. Na kama utahisi hivyo, naomba kunradhi.